well said!! Tena kwa upande wa mshahara walimu wanamshahara mkubwa kuwazidi baadhi ya watumishi wengine,mfano mwalim mwenye degree anayeanza kaz kwa scale ya TGTS D mshahara wake ni mkubwa zaidi ya mtumishi mwenye degree ya social sciences ambaye siyo mwalimu anayeanza kaz kwa scale ya TGS D