Kazi ya ualimu yataka moyo

Asante mkuu tukiangalia vitu kwa mtazamo huu lazima tutatoka kimaisha lakini ukibaki unanung'unika bila way forward utaishia kuwa na sura ya majonzi hata promotion ya kukaimu afisa elimu wa wilaya hupati (si unajua hata wanaopata nafasi za kukaimu huwa na sura zao zinaongea zinakuwa na bashasha)
 
Wenzio Nmb tushaula nshasahau hivi ulitoka lini vilee?nikumbusheni daah!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…