Kazi ya ulinzi ndugu zangu sio kazi wallah

Kazi ya ulinzi ndugu zangu sio kazi wallah

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
9,953
Reaction score
23,150
Yessssssss.. niaje!

Asee kazi nyingine ndugu zangu sio kazi. Mshahara 180 or less na hapo hujafanya kosa. Unagewa mkataba huo unaweza ukalia na unaambiwa kama hauuwez tunakuruhus njia ile nyeupe!.

Hapo unashngaa kila siku unalipwa elf 6 lakini siku hiyo ukikutwa na kosa unakatwa elfu 20. Hapohpo ikifika mwisho wa mwez kulipana mpaka maandamano.

Miaka kadhaa nyuma nilipiga hii kazi! Dah 😁😁 sijui pepo lile la kufanya yoyote nilitolea wapi mana sio kwa ujinga ule. Mshahara kupewa mpaka kivumbi na unapewa mshahara na masimango kibao.

Ilifika kipindi mshahara mnapokea tarehe 15. Kuna mwez flani nikPewa mshahar tarehe 24 yani nimefanya kaz siku 54. Hiz kaz ndo mana wanajazana wazee wa hovyo kwa hovyo tu

Tupia vioja na vimbwanga vya hii kaz hapa!

download (1).jpeg
 
sema walinzi ni watu poa sana, ukikaa ukapiga nao stori wapo vizuri

nilivyokuwa mdogo nilikuwa nawapelekea chakula walinzi tunapiga stori

sema ni kweli wanaonewa, nakumbuka mzee alikuwa anawawasha vibao anapiga honi anakuta wamelala
na wananywea wanaogopa kusemewa kwenye kampuni zao
 
sema walinzi ni watu poa sana, ukikaa ukapiga nao stori wapo vizuri

nilivyokuwa mdogo nilikuwa nawapelekea chakula walinzi tunapiga stori

sema ni kweli wanaonewa, nakumbuka mzee alikuwa anawawasha vibao anapiga honi anakuta wamelala
na wananywea wanaogopa kusemewa kwenye kampuni zao
Mzee ile sio kaz.. wanayodum nao wazee tu mana mziki wake sio poa! Masaa ya kaz 12 na mshahara wenyew haueleweki. Ukiwq na familia ndo kabisaaaa.
 
Back
Top Bottom