Kazi ya ulinzi ndugu zangu sio kazi wallah

Kazi ya ulinzi ndugu zangu sio kazi wallah

Suma kampuni nzur kabisa hii? Vijana waliojitolea miaka 2 wale.

Kuna kampuni ukisikia tu unaona hapa kimberley kipo. Ukiona tu uniform rangi ake na hali ya viatu walivyovaa walinzi sio poa. Wengine wanalinda mpaka na yeboyebo
1723825542157.png

Asubuhi unakutana na mzee ana gobole limefungwa rubber band anakokota phoenix mkulima imeisha na uniform chakavu halafu unaambiwa mlinzi katoka lindoni.
 
Yessssssss.. niaje!

Asee kazi nyingine ndugu zangu sio kazi. Mshahara 180 or less na hapo hujafanya kosa. Unagewa mkataba huo unaweza ukalia na unaambiwa kama hauuwez tunakuruhus njia ile nyeupe!...
Shida mnafanya kazi kampuni za kipumbavu.

Mimi nimefanya kazi ya ulinzi miaka 4 (KK Security, baadaye ikawa Gardaworld).

Mshahara ulikuwa 250,000-280,000 kutegemea na mwezi na siku za kazi.

Likizo yenye malio, na NSSF.

Mpaka naacha nilikuwa na milioni 2 laki 7 NSSF ambazo nilichukua kwa kuanzia.

Sasa unafanya kazi ya ulinzi kampuni hazieleweki kwanini usiumie.

Na sisi hivi Hawa Gardaworld mishahara imepanea, nadhani ni zaidi ya laki 3. Maana wakati tunapata 250,000 basic yetu ilikuwa 150,000. Sasa hivi basic ni 222,000 kwahiyo ukijumlisha na overtime lazima inazidi laki 3
 
View attachment 3071946
Asubuhi unakutana na mzee ana gobole limefungwa rubber band anakokota phoenix mkulima imeisha na uniform chakavu halafu unaambiwa mlinzi katoka lindoni.
Ukiwa supervisor ukapita kukagua lindoni lazima uangalie utimam wa askari mana kukuta yuko bwii ni kawaida kabisa.

Ile kaz mm bora nijinyonge tu, ni aibu tupu! Ukimkopesha mlinzi bora umsamehe tu
 
Shida mnafanya kazi kampuni za kipumbavu.

Mimi nimefanya kazi ya ulinzi miaka 4 (KK Security, baadaye ikawa Gardaworld).

Mshahara ulikuwa 250,000-280,000 kutegemea na mwezi na siku za kazi.

Likizo yenye malio, na NSSF.

Mpaka naacha nilikuwa na milioni 2 laki 7 NSSF ambazo nilichukua kwa kuanzia.

Sasa unafanya kazi ya ulinzi kampuni hazieleweki kwanini usiumie.

Na sisi hivi Hawa Gardaworld mishahara imepanea, nadhani ni zaidi ya laki 3. Maana wakati tunapata 250,000 basic yetu ilikuwa 150,000. Sasa hivi basic ni 222,000 kwahiyo ukijumlisha na overtime lazima inazidi laki 3
Ukisema overtime una maana masaa ya kaz ni mangapi tuanzie hapo
 
Babu yangu alikuwa akiniambia. "....... Ukiendekeza uvivu na usingizi utakuwa korokoloni mjinga wee". Nilona kama anazingua kwa nini ananiamsha asubuhi kuwahi shule na usingizi ndio kwanza mtamu.

Leo bado namkumbuka nikiwaona hao Makorokoloni wanavyo struggle na maisha.

Thank you grandpa. May God Rest your beautiful soul in peace. Am doing just fine.
 
Babu yangu alikuwa akiniambia. "....... Ukiendekeza uvivu na usingizi utakuwa korokoloni mjinga wee". Nilona kama anazingua kwa nini ananiamsha asubuhi kuwahi shule na usingizi ndio kwanza mtamu.

Leo bado namkumbuka nikiwaona hao Makorokoloni wanavyo struggle na maisha.

Thank you grandpa. May God Rest your beautiful soul in peace. Am doing just fine.
Shukuru mungu, mana kusoma pekww sio guarantee ya wewe kuwa hapo! Wasom kibao garda pale
 
Kwa hesbu ya masaa 3 overtime kwa lindo moja (session) kuna jumla ya masaa kama 90 kwa mwez! Yanalipwa kias gan hay?
Mkuu, Mimi siyo mhasibu.

Basic 222,000.

Siku za kazi 6 ( off siku 01).

Piga mahesabu wewe.

====
Wakati nafanya kazi, basic yetu ilikuwa 150,000/-

Unasaini ukiingia kazini (paysheet unasainishwa kila ukiingia kazini).

Kwa mwezi mrefu Kama January ukiingia kazini siku zote unapata Kama 270,000/-
 
Mkuu, Mimi siyo mhasibu.

Basic 222,000.

Siku za kazi 6 ( off siku 01).

Piga mahesabu wewe.

====
Wakati nafanya kazi, basic yetu ilikuwa 150,000/-

Unasaini ukiingia kazini (paysheet unasainishwa kila ukiingia kazini).

Kwa mwezi mrefu Kama January ukiingia kazini siku zote unapata Kama 270,000/-
Masaa 74 mshahar wake eld 74 yni kila Lisaa buku! Lakin garda ina nafuu sana. Na hii kaz vs bodaboda unashaur kijana achukue ipi?
 
Enzi zile kwenye mashamba ya chai kulikua na mlinzi mkuu, ukiwa karibu naye anafanya mipango unatolewa shambani unakua mlinzi wa usiku sehemu Kama factory, nyumba za mameneja na pampu ya maji.
Sasa Kuna dogo mmoja alipangwa pampu ya maji mbali kabisa na kambi, usiku ule baridi ikawa too much kwa Bahati nzuri supervisor alishapita kukagua Kama lindo Lina MTU, dogo akaona arudi home kwasababu hakuna kukaguliwa Tena. Alipofika home anamkuta mlinzi mkuu anapiga story na mke wake.
Dogo alivua lile kabuti na buti na kumuambia mlinzi mkuu kazi imemshinda.
 
Yessssssss.. niaje!

Asee kazi nyingine ndugu zangu sio kazi. Mshahara 180 or less na hapo hujafanya kosa. Unagewa mkataba huo unaweza ukalia na unaambiwa kama hauuwez tunakuruhus njia ile nyeupe!.

Hapo unashngaa kila siku unalipwa elf 6 lakini siku hiyo ukikutwa na kosa unakatwa elfu 20. Hapohpo ikifika mwisho wa mwez kulipana mpaka maandamano.

Miaka kadhaa nyuma nilipiga hii kazi! Dah 😁😁 sijui pepo lile la kufanya yoyote nilitolea wapi mana sio kwa ujinga ule. Mshahara kupewa mpaka kivumbi na unapewa mshahara na masimango kibao.

Ilifika kipindi mshahara mnapokea tarehe 15. Kuna mwez flani nikPewa mshahar tarehe 24 yani nimefanya kaz siku 54. Hiz kaz ndo mana wanajazana wazee wa hovyo kwa hovyo tu

Tupia vioja na vimbwanga vya hii kaz hapa!

View attachment 3071851
Nyie si mnaponda daily kwamba dada wa kazi kulipwa laki moja ni dhuluma..
 
Back
Top Bottom