Mpwimbe
JF-Expert Member
- Oct 13, 2023
- 455
- 818
Bodaboda kwa Dar ni hatari sana.Masaa 74 mshahar wake eld 74 yni kila Lisaa buku! Lakin garda ina nafuu sana. Na hii kaz vs bodaboda unashaur kijana achukue ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bodaboda kwa Dar ni hatari sana.Masaa 74 mshahar wake eld 74 yni kila Lisaa buku! Lakin garda ina nafuu sana. Na hii kaz vs bodaboda unashaur kijana achukue ipi?
Stori za vijiwe vya gahawaNilipewa kazi ya ulinzi nikakabidhiwa na rungu kama silaha ya ulinzi usiku majambazi wakavamia na shoka
Unashangaa wez wanakja wanaanza na wewe. Na ubaya zaid kuna mabos wengine wanakwambia ukae sehem ya kuonekana kirahis 😁Na mnapauka kweli...na maisha yenu yapo hatarini muda wote...bado kugongewa wife home...Nyie hii dunia nyiee🙌
Ukiona mtuyuko pale hata shamba ujue hanaBora Bora ufie jasho lako kuliko ulinzi ufie Mali ya mwenzio🤨
Mwee,maskini....Kuna muda huwa nanunua chakula naenda twala pamoja ....naona wanafarijika Sana.Ila maisha haya😭😭Ukiona mtuyuko pale hata shamba ujue hana
To yeye vipi maendeleo ya afya mpenzi...Mwee,maskini....Kuna muda huwa nanunua chakula naenda twala pamoja ....naona wanafarijika Sana.Ila maisha haya😭😭
Niko poa nduguTo yeye vipi maendeleo ya afya mpenzi...
Wengi wameuawa vibaya mno,yaan mno...kikatili I mean🙌Unashangaa wez wanakja wanaanza na wewe. Na ubaya zaid kuna mabos wengine wanakwambia ukae sehem ya kuonekana kirahis 😁
Nilisikia unaumwa, mungu ni mwema...!Niko poa ndugu
Oke Oke. So ulianza kazi ya Ulinzi na sasa unataka uingie JW sio?!Yessssssss.. niaje!
Asee kazi nyingine ndugu zangu sio kazi. Mshahara 180 or less na hapo hujafanya kosa. Unagewa mkataba huo unaweza ukalia na unaambiwa kama hauuwez tunakuruhus njia ile nyeupe!.
Hapo unashngaa kila siku unalipwa elf 6 lakini siku hiyo ukikutwa na kosa unakatwa elfu 20. Hapohpo ikifika mwisho wa mwez kulipana mpaka maandamano.
Miaka kadhaa nyuma nilipiga hii kazi! Dah 😁😁 sijui pepo lile la kufanya yoyote nilitolea wapi mana sio kwa ujinga ule. Mshahara kupewa mpaka kivumbi na unapewa mshahara na masimango kibao.
Ilifika kipindi mshahara mnapokea tarehe 15. Kuna mwez flani nikPewa mshahar tarehe 24 yani nimefanya kaz siku 54. Hiz kaz ndo mana wanajazana wazee wa hovyo kwa hovyo tu
Tupia vioja na vimbwanga vya hii kaz hapa!
View attachment 3071851
Kuna kipindi sisi ilikuwa ukipangwa jenereta unaenda na shuka. Mana kipindi niko kaz hi nilikuwa visiwani so kuna visiwa zanzibar havin umeme ila kuna jenereta kubwa zinarun umeme a hotel husika. Sas kaz kubwa ple ni kubadil pale moja linapozima au kuongeza mafuta ili umeme uwepo.Enzi zile kwenye mashamba ya chai kulikua na mlinzi mkuu, ukiwa karibu naye anafanya mipango unatolewa shambani unakua mlinzi wa usiku sehemu Kama factory, nyumba za mameneja na pampu ya maji.
Sasa Kuna dogo mmoja alipangwa pampu ya maji mbali kabisa na kambi, usiku ule baridi ikawa too much kwa Bahati nzuri supervisor alishapita kukagua Kama lindo Lina MTU, dogo akaona arudi home kwasababu hakuna kukaguliwa Tena. Alipofika home anamkuta mlinzi mkuu anapiga story na mke wake.
Dogo alivua lile kabuti na buti na kumuambia mlinzi mkuu kazi imemshinda.
Mtoto mboga saba unajipaka blueband ili uwe mlaini changamoto za ulinzi utazijulia wapi?Stori za vijiwe vya gahawa
Sio jw tu mkuu, nataka kuingia mpaka kwenye chupi za wadada sinzaOke Oke. So ulianza kazi ya Ulinzi na sasa unataka uingie JW sio?!
Mfano jamaa wa Suma, wale jamaa wengi wao kuna kitu hakipo sawa kumkichwaKwa asilimia kubwa kwa experience yangu, walinzi wengi ni dakika 7 mbele dizaini kama nati imelegea mahali.
Walinzi na wenye ndugu na jamaa walinzi mnisamehe.
Yesss ingawa hata jkt suma ina madhaif mengi sana ya kuendeshwa kijinga jingaInategemea na kampuni unayofanyia Kuna kampuni kubwa kama GARDA WORLD, G4S ,security group SGA, SUMA JKT n.k Kuna rafiki zangu wanafanya kazi huko kitengo cha IT na wengine walinzi.
Walinzi unaozungumzia wewe ni wale wa kampuni kama MOKU ,KAMANDA SECURITY na zingine za wazawa.
Yan yule ukimruhus aelezee kfikaje pale kama hajalia yeye wewe utalia tu. Mana wana vipengele mzee sio poaMwee,maskini....Kuna muda huwa nanunua chakula naenda twala pamoja ....naona wanafarijika Sana.Ila maisha haya😭😭