Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #101
Uwinga mbaya mkuu nimekosa hela ya kula leonpo poa mkuu za u winga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwinga mbaya mkuu nimekosa hela ya kula leonpo poa mkuu za u winga?
HuOoh sorry....haya asante
That's life diversity, we suffer from what we didn't opt for! Inauma sana😭😭😭😭😭😭 Ila maisha haya🙌 unakuta mwingine ni mzee anapigwa na baridi usiku...afu wamekata tamaa Mie tumbo la uzazi linaniuma hapa...huwa sipendi kuona watu wanateseka ingali hawakuchagua kuzaliwa😭
Najiuliza hawa kazi wanaiweza kweli au ni kusukumiza geti tuuUnajiuliza wamepataje kaz pale sio?
Najiuliza hawa kazi wanaiweza kweli au ni kusukumiza geti tuu
Maana nikiangalia nywele imekolea dawa lip shine ipo mahala pake msambwanda ndani ya suruali wa kwenda ebhanaeeeeeeHao ndo get kipa waliochangamka sasa 😅
😭😭😭 Biblia imeandikwa Kuna siku majuto ya wanadamu yatafikia level ya juu Hadi tutasema "NI KHERI MATUMBO YASIYO ZAA" ....Em fikiria nchi zinazopitia Vita huko...unaambiwa Ukraine mpaka sasa watu waliokufa ni more than 40005 ...means walizaliwa ili wapitie hayo?Hu
That's life diversity, we suffer from what we didn't opt for! Inauma sana
misambwanda itaniua mimi. nitafute mchungaji aniokoeMaana nikiangalia nywele imekolea dawa lip shine ipo mahala pake msambwanda ndani ya suruali wa kwenda ebhanaeeeeee
Na hakuna anaejali kiukweliUmaskini ni real! Na unfanya kaz moja adhim sana kwenye ubepar uliokomaa. Watu dunian hum wamesindikiza tu! Life still hurts.. no body care
Kabisakabisa,ndiyo maana wanaiba aiseeWenye makampuni wanalipwa pesa nyingi kwa kila kichwa ,si chini ya laki 5 ila Maboss ndiyo wanawalipa hela hiyo tena hiyo 150 ni nyingi wengine wanalipwa kilo aka jiwe(laki 1).
Ndiyo maana wanakuwa wezi lindoni ,wanaiba vifaa.
nunua bofulo mkuuUwinga mbaya mkuu nimekosa hela ya kula leo
Dhiki, machafuko, mateso, taharuki, maangamizi na maombolezo ni sehemu ya maisha yetu hapa duniani.😭😭😭 Biblia imeandikwa Kuna siku majuto ya wanadamu yatafikia level ya juu Hadi tutasema "NI KHERI MATUMBO YASIYO ZAA" ....Em fikiria nchi zinazopitia Vita huko...unaambiwa Ukraine mpaka sasa watu waliokufa ni more than 40005 ...means walizaliwa ili wapitie hayo?
Hata mm msambwanda ninao....🥺 Usintese hivo babangu nakupenda eehAlafu midemu sasa ina misambwanda ya kwenda
Bofulo mia 5 mkuu, hapa naagiza maji ya mia na flavour ya juis ya 100 yan juisi kola na mihogo miwili 🤭nunua bofulo mkuu
Embu niuoneHata mm msambwanda ninao....🥺 Usintese hivo babangu nakupenda eeh
Nimekutumia pm babangu umeuonaje...Embu niuone
Mbona sijauonaNimekutumia pm babangu umeuonaje...
Ivi kama wale wanolinda mchana msosi wanapewa na waajiri wao ama?Mzee ile sio kaz.. wanayodum nao wazee tu mana mziki wake sio poa! Masaa ya kaz 12 na mshahara wenyew haueleweki. Ukiwq na familia ndo kabisaaaa.
Anifowadie na mm raraa reree nikajipozeeNimekutumia pm babangu umeuonaje...