Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #121
Inategemea na mkataba. Kupata bos wa kukupa hivyo vyote inategemea mkuu sio guaranteeIvi kama wale wanolinda mchana msosi wanapewa na waajiri wao ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na mkataba. Kupata bos wa kukupa hivyo vyote inategemea mkuu sio guaranteeIvi kama wale wanolinda mchana msosi wanapewa na waajiri wao ama?
Jamaa yuko sahihi,angalia movie za wanaijeria au kanumba,hakuna mlinzi aliyeko sawa kichwaniWalinzi wa kampuni gan mkuu wameingia kwenye sampo ya research yako 😅🤣🤣
Jamaa yuko sahihi,angalia movie za wanaijeria au kanumba,hakuna mlinzi aliyeko sawa kichwaniWalinzi wa kampuni gan mkuu wameingia kwenye sampo ya research yako 😅🤣🤣
Jamaa yuko sahihi,angalia movie za wanaijeria au kanumba,hakuna mlinzi aliyeko sawa kichwani
Imekuaje mkuu una experience na hii?Siongei mengi wakuu......
Acha kabisa...
Mungu ameninusuru na mengi mpaka sasa
Alafu hadi polisi kabisa wapo wanaolinda mabenki usikuInategemea na mkataba. Kupata bos wa kukupa hivyo vyote inategemea mkuu sio guarantee
Rere babangu usifanye hivo..hio Mali Yako peke Yako...Anifowadie na mm raraa reree nikajipozee
Nilitakiea niingizwe kwenye mfumo wa hiyo kazi kaka before kuwa fundi magetiImekuaje mkuu una experience na hii?
Wapo wanaolinda. Kampuni zinazolinda hapo zinatumia silaha ua moto. Mshahara wa silaha ya moto unakuwaga more than 200kAlafu hadi polisi kabisa wapo wanaolinda mabenki usiku
hakuna kitu kama hicho g4s 380 SGA 370 Gardaworld 350 kama una bima kama huna inafika mbaka 385k huyo mlinzi wa kawaida so ukiwa na kacheo hapo inaongezeka 50-100k kwenye mabarozi wanaolinda wanachukua mbaka 700k Garda world mlinzi wa kawaida anakopa bank Stanbic mbaka m5-6 sema ni kazi ambayo Kila mtu akikuona anakudharau mimi mwenyewe nalinda bank lkn mbaka cleaner anaepokea 150k ananiona fala tu so akili kichwani mwako poa 80% ya walinzi wanaolinda kama daraja kusikilizia mishe nyingne wapo graduate kibao wanaolinda kingne inaoneka kazi ya kipumbavu lkn nikikwambia nenda kaombe uone shughuli ilivyo kuipata .Ah? Jamaa alinidanganya sasa. Mana jamaa alinambia mnapewa 300 ila makato ndo inafika hii 250/60. MHANDO yule jamaa wa dubai si alikuwepo hapo?
Kaz ile mkuu n utaalam bora utaalam. Hata gerej poa tu mana kuna sehem utakuwepo ndan ya miaka kadhaa mbele. Ile unapata hela ya kula mihogo na energy tu.Nilitakiea niingizwe kwenye mfumo wa hiyo kazi kaka before kuwa fundi mageti
mkuu mi nipo Gardaworld kwenye list yako toa Suma jkt mshahara wao sidhani kama wanafika 250 ila mimi Garda nikikatwa bima nif na ssf sijui tupse take home Huwa 360kInategemea na kampuni unayofanyia Kuna kampuni kubwa kama GARDA WORLD, G4S ,security group SGA, SUMA JKT n.k Kuna rafiki zangu wanafanya kazi huko kitengo cha IT na wengine walinzi.
Walinzi unaozungumzia wewe ni wale wa kampuni kama MOKU ,KAMANDA SECURITY na zingine za wazawa.
Garda 350 nakataa mkuuhakuna kitu kama hicho g4s 380 SGA 370 Gardaworld 350 kama una bima kama huna inafika mbaka 385k huyo mlinzi wa kawaida so ukiwa na kacheo hapo inaongezeka 50-100k kwenye mabarozi wanaolinda wanachukua mbaka 700k Garda world mlinzi wa kawaida anakopa bank Stanbic mbaka m5-6 sema ni kazi ambayo Kila mtu akikuona anakudharau mimi mwenyewe nalinda bank lkn mbaka cleaner anaepokea 150k ananiona fala tu so akili kichwani mwako poa 80% ya walinzi wanaolinda kama daraja kusikilizia mishe nyingne wapo graduate kibao wanaolinda kingne inaoneka kazi ya kipumbavu lkn nikikwambia nenda kaombe uone shughuli ilivyo kuipata .
mkuu kwanini nikudanganye g4s SGA na Garda hakuna mlinzi anachukua chini ya 350k ninavyoongea hapa Niko lindoni na bank nimekopa m4 shida ww unachanganya makampuni local ya hapa bongo sijui chui security moku nk lkn kampuni hizo hapo juu hakuna anaechukua chini ya hiyo ukibisha nikumbushe tar 25 nikuoneshe salary sleep yangu.Garda 350 nakataa mkuu
mkuu mi nipo Gardaworld kwenye list yako toa Suma jkt mshahara wao sidhani kama wanafika 250 ila mimi Garda nikikatwa bima nif na ssf sijui tupse take home Huwa 360k
Sawa.. nakutumia email uitupie hukomkuu kwanini nikudanganye g4s SGA na Garda hakuna mlinzi anachukua chini ya 350k ninavyoongea hapa Niko lindoni na bank nimekopa m4 shida ww unachanganya makampuni local ya hapa bongo sijui chui security moku nk lkn kampuni hizo hapo juu hakuna anaechukua chini ya hiyo ukibisha nikumbushe tar 25 nikuoneshe salary sleep yangu.
kampuni local za bongo kama moku nk lkn kachukue mlinzi wa Garda au g4s ni kuanzia m1 na mlinzi anachukua 380k take home.Kabisakabisa,ndiyo maana wanaiba aisee
Garda 400k na point normal gurd 370Wapo wanaolinda. Kampuni zinazolinda hapo zinatumia silaha ua moto. Mshahara wa silaha ya moto unakuwaga more than 200k