Udart
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 398
- 586
Haina nomaSawa.. nakutumia email uitupie huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina nomaSawa.. nakutumia email uitupie huko
Daaah mkuu acha tuu mi ngoja nikomae na manyumba hayaKaz ile mkuu n utaalam bora utaalam. Hata gerej poa tu mana kuna sehem utakuwepo ndan ya miaka kadhaa mbele. Ile unapata hela ya kula mihogo na energy tu.
Mm kuna kipindi nikataka kujitoa nikapige veta ishu za rangi/painting. Nilijuta sn
Umaskini ni laana.Yessssssss.. niaje!
Asee kazi nyingine ndugu zangu sio kazi. Mshahara 180 or less na hapo hujafanya kosa. Unagewa mkataba huo unaweza ukalia na unaambiwa kama hauuwez tunakuruhus njia ile nyeupe!.
Hapo unashngaa kila siku unalipwa elf 6 lakini siku hiyo ukikutwa na kosa unakatwa elfu 20. Hapohpo ikifika mwisho wa mwez kulipana mpaka maandamano.
Miaka kadhaa nyuma nilipiga hii kazi! Dah 😁😁 sijui pepo lile la kufanya yoyote nilitolea wapi mana sio kwa ujinga ule. Mshahara kupewa mpaka kivumbi na unapewa mshahara na masimango kibao.
Ilifika kipindi mshahara mnapokea tarehe 15. Kuna mwez flani nikPewa mshahar tarehe 24 yani nimefanya kaz siku 54. Hiz kaz ndo mana wanajazana wazee wa hovyo kwa hovyo tu
Tupia vioja na vimbwanga vya hii kaz hapa!
View attachment 3071851
Duh sasa huo mkopo una ulipaje kamandamkuu kwanini nikudanganye g4s SGA na Garda hakuna mlinzi anachukua chini ya 350k ninavyoongea hapa Niko lindoni na bank nimekopa m4 shida ww unachanganya makampuni local ya hapa bongo sijui chui security moku nk lkn kampuni hizo hapo juu hakuna anaechukua chini ya hiyo ukibisha nikumbushe tar 25 nikuoneshe salary sleep yangu.
Kaka kuna kitu nataka nikucheki pm tuzungumzeWapo wanaolinda. Kampuni zinazolinda hapo zinatumia silaha ua moto. Mshahara wa silaha ya moto unakuwaga more than 200k
Deleted01 Njoo hapa, umekumbuka ulichoniuliza the other day.Wenye makampuni wanalipwa pesa nyingi kwa kila kichwa ,si chini ya laki 5 ila Maboss ndiyo wanawalipa hela hiyo tena hiyo 150 ni nyingi wengine wanalipwa kilo aka jiwe(laki 1).
Ndiyo maana wanakuwa wezi lindoni ,wanaiba vifaa.
Umaskini ni laana.
It's okay let's have summit for jobles delegationKaka kuna kitu nataka nikucheki pm tuzungumze
Alichawiwa huyoNgamiani Tanga Kuna mlinzi mmoja alikua alinda duka usiku, kila vibaka wakipita wanamkuta Yuko kamil gado.
Kuna siku kausingizi kalimpitia mlinzi ws watu, Ile kustuka na kile kijibaridi Cha swala swala, akajikuta Yuko uchi wa mnyama na silaha yake haipo japo maduka yote mawili, yaani lile lake binafsi lililo mwilini mwake na lile duka lenye bidhaa la tajiri hayajavunjwa.
Mlinzi alitumia ule mwanya wa kagiza kwenda nyumbani kuvaa nguo. Kulipokucha alirudi dukani kutangaza kuacha kazi.
Dhiki kaka sasa tutafanyaje Tuache kwanza🤣🤣Yessssssss.. niaje!
Asee kazi nyingine ndugu zangu sio kazi. Mshahara 180 or less na hapo hujafanya kosa. Unagewa mkataba huo unaweza ukalia na unaambiwa kama hauuwez tunakuruhus njia ile nyeupe!.
Hapo unashngaa kila siku unalipwa elf 6 lakini siku hiyo ukikutwa na kosa unakatwa elfu 20. Hapohpo ikifika mwisho wa mwez kulipana mpaka maandamano.
Miaka kadhaa nyuma nilipiga hii kazi! Dah 😁😁 sijui pepo lile la kufanya yoyote nilitolea wapi mana sio kwa ujinga ule. Mshahara kupewa mpaka kivumbi na unapewa mshahara na masimango kibao.
Ilifika kipindi mshahara mnapokea tarehe 15. Kuna mwez flani nikPewa mshahar tarehe 24 yani nimefanya kaz siku 54. Hiz kaz ndo mana wanajazana wazee wa hovyo kwa hovyo tu
Tupia vioja na vimbwanga vya hii kaz hapa!
View attachment 3071851
Niliwahi kujichanga nikiwa SUMA JKT nikasoma fani ya clearing &forwarding nikijua siji kuwa mlinzi tena, kumbe ooooh ni kazi za connection
Nakulinda wewe usipelekwe gheto na uniki flawa.Unalinda Bishoo raraa reree asipelrkwe geto na Nyamwi255 sio?
Hamna namna nmejkfuBora jungepiga za kujikwamua wew usiwe tegemez kwanza. Hiz za kuwa tajiri zina wenyewe
Hamna namna nmejifunza tayari kakaBora jungepiga za kujikwamua wew usiwe tegemez kwanza. Hiz za kuwa tajiri zina wenyewe
Kulewa mule kila mshahara ukitoka! Ile kaz ina balaa mkuu.Kama nyumba yako/nakazu yako ina mlinzi na we ni mwanamke jitahidi uwe down… ikiwa down wanajisikia vizuri sana.
Nyanyua mabega ushuhudie shege zao.
Niliwahi ishi nyumba moja ya mheshimiwa mmoja, hauchelewi kuwaona wanapigana wakichelewa kutoana lindoni, utashuhudia vumbi limetimka ujue tayari. Incharge wao mwenyewe mbabaifu basi tu tafrani, ni kazi ngumu sana.
Kuna mwamba mmoja huyo mrefu mweusiii, mlevi hatari, akilipwa mshahara tu haji kazini wiki 😂
Dhikj hiyo bodaboda huzioni?Dhiki kaka sasa tutafanyaje Tuache kwanza🤣🤣
Walinzi tuheshimishwe. Mama aliangalie hiliMi pia. 😀
Walinzi tunapitia mengi.