Shida mnafanya kazi kampuni za kipumbavu.
Mimi nimefanya kazi ya ulinzi miaka 4 (KK Security, baadaye ikawa Gardaworld).
Mshahara ulikuwa 250,000-280,000 kutegemea na mwezi na siku za kazi.
Likizo yenye malio, na NSSF.
Mpaka naacha nilikuwa na milioni 2 laki 7 NSSF ambazo nilichukua kwa kuanzia.
Sasa unafanya kazi ya ulinzi kampuni hazieleweki kwanini usiumie.
Na sisi hivi Hawa Gardaworld mishahara imepanea, nadhani ni zaidi ya laki 3. Maana wakati tunapata 250,000 basic yetu ilikuwa 150,000. Sasa hivi basic ni 222,000 kwahiyo ukijumlisha na overtime lazima inazidi laki 3