Kazi ya ulinzi ndugu zangu sio kazi wallah

Kazi ya ulinzi ndugu zangu sio kazi wallah

Garda 250! Walau walau wana nafuu yao
Mkuu we umefanya kazi ya ulinzi kampuni gani? Hata iyo hela uliyotaja sio wanayolipwa garda. Nina jamaa zangu wanafanya iyo kazi na si haba wako vzr. Garda wanapokea around 300-370 uyo ni normal guard, kama una kitengo maybe upo kwny crew au kwny issue za alarm ni zaidi ya iyo. We ulikuwa unafanya kampuni local, hivi vikampuni local ndo wana malipo ya kiwaki.
 
Mkuu we umefanya kazi ya ulinzi kampuni gani? Hata iyo hela uliyotaja sio wanayolipwa garda. Nina jamaa zangu wanafanya iyo kazi na si haba wako vzr. Garda wanapokea around 300-370 uyo ni normal guard, kama una kitengo maybe upo kwny crew au kwny issue za alarm ni zaidi ya iyo. We ulikuwa unafanya kampuni local, hivi vikampuni local ndo wana malipo ya kiwaki.
Kuna jamaa mm alinitonya hivyo may be elimu. Lakin kabla sijaenda kufanya hii niliifatilia kwanza na hata siku jamaa wa jf alivyoenda kufanya interview nilikosa sabab ya nauli tu. Lakin lisemwalo lipo! Kuna jamaa wamekri hapo juu kuchukua 400
 
Jina kapuni, sema mimi target yangu ulikua nipate mshangazi wa kizungu nisepe zangu kwa biden😁
Si uende kama mmasai.. wamasai wanakula mimama kule. Kuna siku ilipiga bonge ya mvua omboi ikakata kama saa 7 hiv mm ilivyokata nikaingia bichi nikakuta wameloa kimahaba na jimama la kiitali wamebebana dah! Iliniuma kichiz ile ishu
 
Si uende kama mmasai.. wamasai wanakula mimama kule. Kuna siku ilipiga bonge ya mvua omboi ikakata kama saa 7 hiv mm ilivyokata nikaingia bichi nikakuta wameloa kimahaba na jimama la kiitali wamebebana dah! Iliniuma kichiz ile ishu
Wamasai si wamepigwa ban huko? Ulitamani uwe wewe mkuu?😁
 
Back
Top Bottom