Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Mkuu kuna kipindi ulikua unawapa watu connection huko zanzibar za ulinzi kumbe ulikua unawapeleka kwenye msoto kwa makusudi kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa Suma JKTWalinzi wa kampuni gan mkuu wameingia kwenye sampo ya research yako 😅🤣🤣
Analijua Mama, wanatufichiaga kofia tukiwa tumelala getini na njaa zetuWalinzi tuheshimishwe. Mama aliangalie hili
Wivu huu toka lini bebimama? Mbona bahati hiyo sinaNakulinda wewe usipelekwe gheto na uniki flawa.
Hamnaaa 🤣 sasa mtu anataka kujinyonga kisa hana kazi si bora umpe hiyo asijinyongeMkuu kuna kipindi ulikua unawapa watu connection huko zanzibar za ulinzi kumbe ulikua unawapeleka kwenye msoto kwa makusudi kabisa.
Yani mm nipigwe mapanga kwa laki n 20? We kuweza?Anhaa ndo maana wakija wezi walinzi wote speed 320😂😂
Kumbe tatzo hawapewi maokoto🚶
Mkuu we umefanya kazi ya ulinzi kampuni gani? Hata iyo hela uliyotaja sio wanayolipwa garda. Nina jamaa zangu wanafanya iyo kazi na si haba wako vzr. Garda wanapokea around 300-370 uyo ni normal guard, kama una kitengo maybe upo kwny crew au kwny issue za alarm ni zaidi ya iyo. We ulikuwa unafanya kampuni local, hivi vikampuni local ndo wana malipo ya kiwaki.Garda 250! Walau walau wana nafuu yao
Kuna jamaa mm alinitonya hivyo may be elimu. Lakin kabla sijaenda kufanya hii niliifatilia kwanza na hata siku jamaa wa jf alivyoenda kufanya interview nilikosa sabab ya nauli tu. Lakin lisemwalo lipo! Kuna jamaa wamekri hapo juu kuchukua 400Mkuu we umefanya kazi ya ulinzi kampuni gani? Hata iyo hela uliyotaja sio wanayolipwa garda. Nina jamaa zangu wanafanya iyo kazi na si haba wako vzr. Garda wanapokea around 300-370 uyo ni normal guard, kama una kitengo maybe upo kwny crew au kwny issue za alarm ni zaidi ya iyo. We ulikuwa unafanya kampuni local, hivi vikampuni local ndo wana malipo ya kiwaki.
Tena unatujaza msosi ni free, free wifi plus sehemu ya kulala nikasema kazi si ndio hii, nilitaka kukufata pm sema nilipata mchongo mwingine nikaacha.Hamnaaa 🤣 sasa mtu anataka kujinyonga kisa hana kazi si bora umpe hiyo asijinyonge
Wapi hiyo?Aisee wezi walinipiga na jiwe la manati usiku huo huo nikaacha lindo na kazi kabisa
Kwa muhindi jamaa yanguWapi hiyo?
Huyu wa kimara au mbande?😁😁😁😁 kuna mwanangu mwingine alienda na yeye kupitia kwako nayeye karudi nadhani ana mwezi sasa.
Ibra? Wenzie nawafaham ila yeye hajawah kunitafuta. Shida wale jamaa hawana shukran yani. Na mwemye ile kampuni hata hum jf yupo😁😁😁😁 kuna mwanangu mwingine alienda na yeye kupitia kwako nayeye karudi nadhani ana mwezi sasa.
Huyu wa kimara au mbande?
Si uende kama mmasai.. wamasai wanakula mimama kule. Kuna siku ilipiga bonge ya mvua omboi ikakata kama saa 7 hiv mm ilivyokata nikaingia bichi nikakuta wameloa kimahaba na jimama la kiitali wamebebana dah! Iliniuma kichiz ile ishuJina kapuni, sema mimi target yangu ulikua nipate mshangazi wa kizungu nisepe zangu kwa biden😁
Huyu wa kimara au mbande?
Receptionist wanatoboa sana mana madoni zanzibar wengi sana na wanawabeba na kuwapa maisha. Kuna gf wangu aliolewa kule mahari mjengo kule bwereu kapewaJina kapuni, sema mimi target yangu ulikua nipate mshangazi wa kizungu nisepe zangu kwa biden😁
Wamasai si wamepigwa ban huko? Ulitamani uwe wewe mkuu?😁Si uende kama mmasai.. wamasai wanakula mimama kule. Kuna siku ilipiga bonge ya mvua omboi ikakata kama saa 7 hiv mm ilivyokata nikaingia bichi nikakuta wameloa kimahaba na jimama la kiitali wamebebana dah! Iliniuma kichiz ile ishu