Kazi ya upishi

Enyimba

Member
Joined
Mar 10, 2016
Posts
43
Reaction score
67
Habari wanajamii
naitwa Samwel Mayala
ninatafuta kazi za upishi
ninauzoefu wa miaka 19 katika tansinia ya hotel
ninaishi Dar es salaam
NInapika chakula Cha aina mbali mbali kama vile chakula Cha wachina,wazungu pamoja na chakula Cha kihindi
Kwa mawasiliano zaidi namba zangu ni
0744054228/0657642225
asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…