Kazi ya Uwakala wa M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money inaingizaje pesa?

Kazi ya Uwakala wa M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money inaingizaje pesa?

Selcom inaingizaje pesa ya ziada mzee ufafanuzi zaid???
mkuu kuna sehemu nimeandika usome vizuri maelezo nimeandika kwamba lipa zlivyoanza kufungwa tulihamia selcom badae tena tukahamia mlipa saiv tuko sementup.mwaka wa 4 huu wateja washanizoea wakija wananipa simu niwatolee kwahyo sitoe kwenye till ya wakala natolea huko kwngne ili yale makato nibaki nayo kama faida.wazee na wale watu wanaokuwa na haraka sana nawaonyesha namba ya wakala watolee huwa sihangaik nao.
 
mfano hii ya kwangu ni 0.0 mfano hapo mteja ana elfu 48000,inatoka yote alafu nampa 45500 maana yake namkata 2500 tu.

akienda sehem nyngne atakatwa zaid ya elfu 3.

kwa hyo faida yangu inakuwa 2500 mara watu 10 natoka nje naenda kucheza draft.


najua humu kuna masnich,kwa taarifa ni yenu mbongo ukimzuia hivi atatafuta njia nyingine.waambie mabosi wenu waongeze kamisheni tuwafanyie kazi
 
mkuu kuna sehemu nimeandika usome vizuri maelezo nimeandika kwamba lipa zlivyoanza kufungwa tulihamia selcom badae tena tukahamia mlipa saiv tuko sementup.mwaka wa 4 huu wateja washanizoea wakija wananipa simu niwatolee kwahyo sitoe kwenye till ya wakala natolea huko kwngne ili yale makato nibaki nayo kama faida.wazee na wale watu wanaokuwa na haraka sana nawaonyesha namba ya wakala watolee huwa sihangaik nao.
Hapa Bado kichwa kinauma
 
Mawakala tunanyonywa sana na Hii mitandao, tunawanufaisha sana. Ni muda sasa tuamke!

Kiukweli hizi kazi za uwakala sio kabisa ni kupoteza muda
Kamisheni imekaa kichawi kweli! Yaani kama vile tunawafanyia kazi Serikali na wenye hayo makampuni ya simu! Unahitajika mzunguko mkubwa sana ili kuvuna chochote mwisho wa mwezi.

Anyway, tuvumilie tu. Maana hakuna namna.
 
mfano hii ya kwangu ni 0.0 mfano hapo mteja ana elfu 48000,inatoka yote alafu nampa 45500 maana yake namkata 2500 tu.

akienda sehem nyngne atakatwa zaid ya elfu 3.

kwa hyo faida yangu inakuwa 2500 mara watu 10 natoka nje naenda kucheza draft.


najua humu kuna masnich,kwa taarifa ni yenu mbongo ukimzuia hivi atatafuta njia nyingine.waambie mabosi wenu waongeze kamisheni tuwafanyie kazi
Mkuu nieleweshe baada ya pesa kuwepo kwenye lipa yangu naitoaje hiyo pesa ili nipate cash na kama kuna gharamaaa inakuwaje?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kando ya maswala ya location, Tafuta hayo ma lipa Kwa Mpesa na lipa Kwa Tigo pesa, ndo utapata hela, vinginevyo utapoteza mda wako tu, labda kama una mtaji w kueleweka angalau 10 million, ili watu wajue kabisa wakija kwako hawakosi mtonyo, na pia uwe tayari kutapeliwa au kuvamiwa kabisa
Mkuu pesa inatolewa kwa utaratibu upi kwenye laini ya lipa kwa MPESA?.
 
Back
Top Bottom