kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,058
- 3,613
mkuu kuna sehemu nimeandika usome vizuri maelezo nimeandika kwamba lipa zlivyoanza kufungwa tulihamia selcom badae tena tukahamia mlipa saiv tuko sementup.mwaka wa 4 huu wateja washanizoea wakija wananipa simu niwatolee kwahyo sitoe kwenye till ya wakala natolea huko kwngne ili yale makato nibaki nayo kama faida.wazee na wale watu wanaokuwa na haraka sana nawaonyesha namba ya wakala watolee huwa sihangaik nao.Selcom inaingizaje pesa ya ziada mzee ufafanuzi zaid???
Unaitoajeunatumia till ya kawaida.labda ungeniuliza pesa iliyomo kwenye lipa kwa mpesa unaitoaje ili upate cash irudi kwenye mzunguko
Hapa Bado kichwa kinaumamkuu kuna sehemu nimeandika usome vizuri maelezo nimeandika kwamba lipa zlivyoanza kufungwa tulihamia selcom badae tena tukahamia mlipa saiv tuko sementup.mwaka wa 4 huu wateja washanizoea wakija wananipa simu niwatolee kwahyo sitoe kwenye till ya wakala natolea huko kwngne ili yale makato nibaki nayo kama faida.wazee na wale watu wanaokuwa na haraka sana nawaonyesha namba ya wakala watolee huwa sihangaik nao.
Kamisheni imekaa kichawi kweli! Yaani kama vile tunawafanyia kazi Serikali na wenye hayo makampuni ya simu! Unahitajika mzunguko mkubwa sana ili kuvuna chochote mwisho wa mwezi.Mawakala tunanyonywa sana na Hii mitandao, tunawanufaisha sana. Ni muda sasa tuamke!
Kiukweli hizi kazi za uwakala sio kabisa ni kupoteza muda
Mkuu nieleweshe baada ya pesa kuwepo kwenye lipa yangu naitoaje hiyo pesa ili nipate cash na kama kuna gharamaaa inakuwaje?mfano hii ya kwangu ni 0.0 mfano hapo mteja ana elfu 48000,inatoka yote alafu nampa 45500 maana yake namkata 2500 tu.
akienda sehem nyngne atakatwa zaid ya elfu 3.
kwa hyo faida yangu inakuwa 2500 mara watu 10 natoka nje naenda kucheza draft.
najua humu kuna masnich,kwa taarifa ni yenu mbongo ukimzuia hivi atatafuta njia nyingine.waambie mabosi wenu waongeze kamisheni tuwafanyie kazi
Mkuu pesa inatolewa kwa utaratibu upi kwenye laini ya lipa kwa MPESA?.Kando ya maswala ya location, Tafuta hayo ma lipa Kwa Mpesa na lipa Kwa Tigo pesa, ndo utapata hela, vinginevyo utapoteza mda wako tu, labda kama una mtaji w kueleweka angalau 10 million, ili watu wajue kabisa wakija kwako hawakosi mtonyo, na pia uwe tayari kutapeliwa au kuvamiwa kabisa
Mkuu,ikifungwa kwa namna hiyo balance yako unaitoaje?.jana lipa yangu imefungwa ikiwa na million 1.4
ajiandae kukabiliana na changamoto
Mkuu ebu nielekeze hii, namna ambavyo unaitoa fedha kwenye line ya lipa kwa Mpesa.unatumia till ya kawaida.labda ungeniuliza pesa iliyomo kwenye lipa kwa mpesa unaitoaje ili upate cash irudi kwenye mzunguko
Wana vigezo gani?Lipa kwa Tigo punguzeni vigezo watu weng wachukue lani.
Hawataki leseni za miamala ya simu.Wana vigezo gani?
Una hela nikupe elimu?Asante. Hivi hiyo lipa kwa M pesa au kwa tigo pesa inahusika na nini hasa?
Hiyo nayo inakuwaje mkuu kwenye swala la kutoa iyo hela ilokuwemo kwenye lain ya lipa kwaunatumia till ya kawaida.labda ungeniuliza pesa iliyomo kwenye lipa kwa mpesa unaitoaje ili upate cash irudi kwenye mzunguko