Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Ni matumaini nyote hamjambo
Moja kwa moja kwenye mada, naomba kuwauliza wale MALAIKA wa Tanzania, je mnajua kazi ya Mwanasheria au Wakili?;??
Kama hamjuai kazi zao ni bora mkakaa kimya kuliko hizi shutuma mnawaletea.
Binafsi hakuna kitu nachukia kama USHOGA but siwezi kuingilia kazi ya mtu. Kazi ya hawa ndugu zetu ni hiyo. Wanatetea wauhaji sembese watatua na watatuliwa Marrrrrriindaaa?;?
Nimeleta hoja hii baada ya kuona tuhuma nyingi zinamwekelea SHANGAZI. Mwacheni shangazi afanye kazi yake. Amesomea kuwatetea waarifu na wavunjifu wa sheria na maadili.
Madaktari wanawatibu wagonjwa wa UKIMWI/HIV bila kujua waliathirika vipi so acha WANASHERIA au MAWAKILI wawatetee watuhumiwa.
NB: KILA MTU ANA MADHAMBI YAKE JAPO HATUYAJUI, KILA MTU ANA KAZI YAKE, SO TUSIINGILIANE KIMAJUKUMU.
SAY NO TO HOMOSEXUAL!!!!
Moja kwa moja kwenye mada, naomba kuwauliza wale MALAIKA wa Tanzania, je mnajua kazi ya Mwanasheria au Wakili?;??
Kama hamjuai kazi zao ni bora mkakaa kimya kuliko hizi shutuma mnawaletea.
Binafsi hakuna kitu nachukia kama USHOGA but siwezi kuingilia kazi ya mtu. Kazi ya hawa ndugu zetu ni hiyo. Wanatetea wauhaji sembese watatua na watatuliwa Marrrrrriindaaa?;?
Nimeleta hoja hii baada ya kuona tuhuma nyingi zinamwekelea SHANGAZI. Mwacheni shangazi afanye kazi yake. Amesomea kuwatetea waarifu na wavunjifu wa sheria na maadili.
Madaktari wanawatibu wagonjwa wa UKIMWI/HIV bila kujua waliathirika vipi so acha WANASHERIA au MAWAKILI wawatetee watuhumiwa.
NB: KILA MTU ANA MADHAMBI YAKE JAPO HATUYAJUI, KILA MTU ANA KAZI YAKE, SO TUSIINGILIANE KIMAJUKUMU.
SAY NO TO HOMOSEXUAL!!!!