financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Haya baba ,kila rakheriMkuu siwezi kuoa wote. So nimechagua mwenye Diploma au Degree. Kama anayo yeye mwenyewe atajua why. Thanks
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya baba ,kila rakheriMkuu siwezi kuoa wote. So nimechagua mwenye Diploma au Degree. Kama anayo yeye mwenyewe atajua why. Thanks
Mh!!!!!!Hahaaa aje nimwambie Mimi hapa.
Hapana isije naachia hapoHahaaa. Atakuwa njiani. [emoji12] [emoji12]
hajar mimi natuma maombiHahaaaa. Sijakuona ujue mdau wa kuwahi siti nikaona nikushikie nafasi rafiki. [emoji12] [emoji12]
Hahahaaaa. Hujachelewa kweli rafiki?hajar mimi natuma maombi
Hahahaa. Mumy mie naona kama ushachelewa vilee [emoji12] [emoji12]Mleta mada mrejesho umepata au bado maombi bado unapokea au nimechelewa deadline?
rafiki anaweza akatengua uteuzi ujue ngoja tupige soga za mashia wakati tunamsubiri mleta mada,jana nliwacheki nikawaonea donge kila nkikoment kuhusu mashia waunganisha swala inakataa commentHahahaa. Mumy mie naona kama ushachelewa vilee [emoji12] [emoji12]
Sababu ni more than month now au ndio atakuwa anaendelea kuchuja. Ngoja mleta uzi aje atwambie. Hahahaaaa.
Pole mwaya. Ila kwetu mbona ilikuwa inakubali.rafiki anaweza akatengua uteuzi ujue ngoja tupige soga za mashia wakati tunamsubiri mleta mada,jana nliwacheki nikawaonea donge kila nkikoment kuhusu mashia waunganisha swala inakataa comment
Huwa inantokeaga naandika comment ndefu napost najua nimecoment kumbe hakuna nashtuka baadae mbona uzi unatembea sipati notifications naangalia sikuti,basi nakasirika siandiki tenaPole mwaya. Ila kwetu mbona ilikuwa inakubali.
Au ulipokuwepo mtandao ulikuwa chini nini?
Ulipitwa jamaani sababu story zilinoga hasaaa.Huwa inantokeaga naandika comment ndefu napost najua nimecoment kumbe hakuna nashtuka baadae mbona uzi unatembea sipati notifications naangalia sikuti,basi nakasirika siandiki tena
Mungu akujalie upate hitaji la moyo wako??Wana JF, natumaini mko salama,
Kwa heshima zote, naandika from my heart. JF ni platform inayowakutanisha Watanzania wote, ni matumaini yangu kumpata ninayemtafuta kama jinsi nyinyi ambavyo mmepata kujifunza mengi kutoka kwenye thread zangu mbalimbali.
Kuanzia June inayoanza kesho, lengo langu kubwa na la pekee ni familia. Mimi ni mfanyakazi, mazingira ya kazi yananinyima muda wa ku-mingle out. I'm always scheduled, kwa wenye kazi kwenye corporate institutions mtanielewa, japo sio vitengo vyote watu huwa busy.
Naomba kama kuna mwanaJF au ana ndugu/rafiki yake mwenye hitaji kama langu, tuwasiliane. Naomba mfahamu andiko langu ni serious, na pengine kuliko kuni-flag out kama kawaida ya kizazi kipya cha JF, labda muache nafasi kwa mtu mmoja tu, maoni yenu yana yana nafasi kubwa ya kumvunja moyo au kumtia moyo ya kuwasiliana na mimi na hatimae akaitwa Mke wangu.
Niwe clear kwenye jambo moja: Mke wangu mtarajiwa naomba uwe Mkristo, una Diploma au Degree na unaishi Dar es Salaam.
Mambo kama umri, rangi, kabila n.k. ni juu yangu na atakeyjitokeza.
Ninawaahidi nitazidi kuandika Articles za mada mbalimbali za kitaaluma na kuelimishana.
Thank you JF.
Sasa si ujitolee wewe uwe mke wake? Au hujapenda kazi yake?Mmh. Sijuagi kwa nini nimejikuta nawaza ninachokiwaza lol.
Haya Mkuu Kila la kheri Mkuu katika kumpata mwenza hasa humu ndani ya jf kama matarajio yako Mkuu.
Kiben ten chako umekiachaMleta mada mrejesho umepata au bado maombi bado unapokea au nimechelewa deadline?
mkuu usiniharibie maombi yangu yako njiani hayafika,kibenten twende kule kule tukamuongeleeKiben ten chako umekiacha
Pole missSio hapa jf.wanaume wa hapa wanafiki saaaana.waongo vibaya mno.
Friend.....Mimi nataka Rafiki tu .ila mpenzi big no