Kazi yangu inanilazimu kutafuta mke kupitia hapa JamiiForums

Mleta mada mrejesho umepata au bado maombi bado unapokea au nimechelewa deadline?
Hahahaa. Mumy mie naona kama ushachelewa vilee [emoji12] [emoji12]

Sababu ni more than month now au ndio atakuwa anaendelea kuchuja. Ngoja mleta uzi aje atwambie. Hahahaaaa.
 
Hahahaa. Mumy mie naona kama ushachelewa vilee [emoji12] [emoji12]

Sababu ni more than month now au ndio atakuwa anaendelea kuchuja. Ngoja mleta uzi aje atwambie. Hahahaaaa.
rafiki anaweza akatengua uteuzi ujue ngoja tupige soga za mashia wakati tunamsubiri mleta mada,jana nliwacheki nikawaonea donge kila nkikoment kuhusu mashia waunganisha swala inakataa comment
 
rafiki anaweza akatengua uteuzi ujue ngoja tupige soga za mashia wakati tunamsubiri mleta mada,jana nliwacheki nikawaonea donge kila nkikoment kuhusu mashia waunganisha swala inakataa comment
Pole mwaya. Ila kwetu mbona ilikuwa inakubali.

Au ulipokuwepo mtandao ulikuwa chini nini?
 
Pole mwaya. Ila kwetu mbona ilikuwa inakubali.

Au ulipokuwepo mtandao ulikuwa chini nini?
Huwa inantokeaga naandika comment ndefu napost najua nimecoment kumbe hakuna nashtuka baadae mbona uzi unatembea sipati notifications naangalia sikuti,basi nakasirika siandiki tena
 
Huwa inantokeaga naandika comment ndefu napost najua nimecoment kumbe hakuna nashtuka baadae mbona uzi unatembea sipati notifications naangalia sikuti,basi nakasirika siandiki tena
Ulipitwa jamaani sababu story zilinoga hasaaa.

Siku nyingine mwaya.
 
Mungu akujalie upate hitaji la moyo wako??
 
Mmh. Sijuagi kwa nini nimejikuta nawaza ninachokiwaza lol.

Haya Mkuu Kila la kheri Mkuu katika kumpata mwenza hasa humu ndani ya jf kama matarajio yako Mkuu.
Sasa si ujitolee wewe uwe mke wake? Au hujapenda kazi yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…