Kazi za "census" wameshapeana?

Kazi za "census" wameshapeana?

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
wakuu kwa muda sasa nasikia kuhusu sensa ya 2012, vipi wameshaajiri watu? Vipi maslahi yao huwa yanakuwaje?
 
Hzo kazi huwa wanapewa walimu..we angalia ustaarabu mwingne tu.
 
Hawa jamaa nafasi wanagawiana kifamilia. Ki ukwel hata sijui zinapatikanaje.
 
Back
Top Bottom