Kazi za kutwa viwandani

Kazi za kutwa viwandani

Zekoddo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
1,859
Reaction score
4,539
Kwa maeneo ya Mbagala kuelekea Mkuranga ni viwanda vipi vinatoa kazi za kutwa.

Kama unavijua taja hapa, kwa wale wenyeji wa Maeneo hayo.

Unaweza kushare hapa
 
Kwa maeneo ya Mbagala kuelekea Mkuranga ni viwanda vipi vinatoa kazi za kutwa.

Kama unavijua taja hapa, kwa wale wenyeji wa Maeneo hayo.

Unaweza kushare hapa
Kuna vile vya pale nyuma ya stand kuu zakhem jaribu pale
kuna vile vya cement mkuranga na kigamboni pia jaribu
kuna kimoja cha tills kipo mpakani mwa jaribu (kijiji cha jaribu)
huko kote hutakosa
 
Kuna vile vya pale nyuma ya stand kuu zakhem jaribu pale
kuna vile vya cement mkuranga na kigamboni pia jaribu
kuna kimoja cha tills kipo mpakani mwa jaribu (kijiji cha jaribu)
huko kote hutakosa
Kijiji Cha jaribu ndo jina la eneo..?
 
Kuna kiwanda kiko keko _chang'ombe kinaitwa CELLO nenda pale utaonana na mlinzi muombe utaratibu ila kumbuka mwisho wa siku watakudai elfu ishirini ili uingie huko uanze kazi.

Malipo ni kwa week .
Chakula cha mchana kipo

Ni watengenezaji wa viti na meza za plastic

Sent using Jamii Forums mobile app
Kituo Cha kushukia ili nifike kirahis ni wap..?
 
Hizo kazi zipo sana katika mkoa wa pwani haswa kuanzia Mwandege hadi Mkuranga, changamoto kubwa ni malipo maana wanaanzia shilingi 5,000.00 hadi 6,000.00 kwa siku. kama unaishi maeneo hayo ni nafuu kidogo ila kama utahitajika kulipa nauli hamna kitu. Pia wachina wanakaba mwanzo mwisho hakuna kupumzikaa labda session ya Lunch tu tena waweza kukupa dk 30 tu.
 
Hizo kazi zipo sana katika mkoa wa pwani haswa kuanzia Mwandege hadi Mkuranga, changamoto kubwa ni malipo maana wanaanzia shilingi 5,000.00 hadi 6,000.00 kwa siku. kama unaishi maeneo hayo ni nafuu kidogo ila kama utahitajika kulipa nauli hamna kitu. Pia wachina wanakaba mwanzo mwisho hakuna kupumzikaa labda session ya Lunch tu tena waweza kukupa dk 30 tu.
Aisee kuna kiwanda kinaitwa darling wanaingia asubuh saa 12 wanatoka usiku saa 12 kwa siku 5000 yaani wakiwa wanatoka ni kama wanafunzi wanatoka darasani
 
Kuna kiwanda cha GYPSUM kinaitwa knauf wametangaza internship kipo maeneo ya kisemvule pale
Mkuu nipe mawasiliano Yao na namna gani naweza kuomba/kufanya hyo Internship..?
 
Aisee kuna kiwanda kinaitwa darling wanaingia asubuh saa 12 wanatoka usiku saa 12 kwa siku 5000 yaani wakiwa wanatoka ni kama wanafunzi wanatoka darasani
Huko kunafaa mkuu sio Mbaya.. si unajua life lenyewe hili..
 
maelekezo jinsi ya kufika natokea mbezi
Panda gari mpaka mbagala rangi 3 ukifika panda gari za mkurunga mwambie akushushe yebo yebo au unaweza ukapanda gari za kisemvule ukatembea sio mbali sana
 
Back
Top Bottom