kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Husika na kichwa cha habari hapo juu mimi ni raia wa kawaida hapa kisarawe kwa Sasa naomba msaada wa kusoma kozi za muda mfupi kwa jiji la Dar es salaam,hivyo kama kuna mdau yeyote anayefahamu eneo wanalofundisha hizo kozi za muda mfupi aje hapa jukwaani anisaidie,iwe miezi mitatu, miezi sita .Ni mimi kimbendengu Asanteni