USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Unaambiwa kigezo kikuu cha kazi za serkali za mitaa ni kujitolea kama huna kazi isiombe utakuwa huna vigezo wao ndio wakiomba walikataliwa ukosa vigezo wanaanza kulia lia tu.
Chama kisichofuata hata ishu ndogo kama hizi kitaweza kweli kusimamia mambo ya maana ya siri na nyeti kitaifa na kimataifa.
Hao wagombea wakatafuta kazi kwanza ndio waombe kazi
USSR
Chama kisichofuata hata ishu ndogo kama hizi kitaweza kweli kusimamia mambo ya maana ya siri na nyeti kitaifa na kimataifa.
Hao wagombea wakatafuta kazi kwanza ndio waombe kazi
USSR