LGE2024 Kazi za serikali za mitaa ni kazi za kujitolea chadema waambiwe ukweli kiwa kama huna kazi huwezi pata

LGE2024 Kazi za serikali za mitaa ni kazi za kujitolea chadema waambiwe ukweli kiwa kama huna kazi huwezi pata

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Unaambiwa kigezo kikuu cha kazi za serkali za mitaa ni kujitolea kama huna kazi isiombe utakuwa huna vigezo wao ndio wakiomba walikataliwa ukosa vigezo wanaanza kulia lia tu.

Chama kisichofuata hata ishu ndogo kama hizi kitaweza kweli kusimamia mambo ya maana ya siri na nyeti kitaifa na kimataifa.

Hao wagombea wakatafuta kazi kwanza ndio waombe kazi

USSR
 
Kwa hiyo wamama wa nyumbani walioolewa wanaotegemea waume zao hawaruhusiwi kugombea? Wastaafu wanaotegemea pensheni hawarahusiwi kugombea?
 
Wanafunzi wa chuo kikuu hawaruhusiwi kugombea??
 
Umeandika ushuzi kabisa,CCM wanaogopa ushindani wanafanya juu chini waendelee kututawala
 
Ukiwa huna kazi haruhusiwi kujitolea??
 
Wazee wa Yanga na Simba wasio na kazi hawaruhusiwi kugombea??
 
Back
Top Bottom