malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habar wakuu nataka kusajili company niwe naomba tender za kusuply material katika miradi ya hamashauri mashule,zahanati..vip wakuu Kuna ukiritimba wowote wakupata au ndo Hadi uwe na connection na afsa manunuzi,na vip katika malipo
Naskia Kuna mfumo mpya wa nest wanadai kuwa hauna urasimu kupata tende je nikweli?
Naskia Kuna mfumo mpya wa nest wanadai kuwa hauna urasimu kupata tende je nikweli?