Ndugu wanajamii,
Mimi ni graduate wa Tanzania Institute of Accountancy (TIA) with an Advanced Diploma in Accountancy (ADA, with 2nd Class) 2006. Nina miaka 30 na nina uzoefu wa miaka 3+. Nimewahi kuwa ACCOUNTANT kwenye kampuni moja kabla haijafungwa kwa sababu ya economic crisis 2009.
Natafuta kazi ya UHASIBU inayolipa kuanzia Tshs 322,760 kwa mwezi bila kujari ni Serikalini au ni Kampuni Binafsi popote Tanzania (kijijini au mjini).
Nimejitahidi kuomba ajira kila zinapotangazwa gazetini lakini bahati mbaya kimya yaani sipati jibu imekuwaje (not shorlisted or whatever).
NAOMBA MSAADA wanajamii wenzangu katika hili hata namna ya kupata kazi ambayo naamini baadaye itanisaidia ku-create another income kwa sababu naamini kuwa na kipato cha ziadi mbali na kazi ya kuajiriwa siyo dhambi.
Naomba kuwasilisha.
Mimi ni graduate wa Tanzania Institute of Accountancy (TIA) with an Advanced Diploma in Accountancy (ADA, with 2nd Class) 2006. Nina miaka 30 na nina uzoefu wa miaka 3+. Nimewahi kuwa ACCOUNTANT kwenye kampuni moja kabla haijafungwa kwa sababu ya economic crisis 2009.
Natafuta kazi ya UHASIBU inayolipa kuanzia Tshs 322,760 kwa mwezi bila kujari ni Serikalini au ni Kampuni Binafsi popote Tanzania (kijijini au mjini).
Nimejitahidi kuomba ajira kila zinapotangazwa gazetini lakini bahati mbaya kimya yaani sipati jibu imekuwaje (not shorlisted or whatever).
NAOMBA MSAADA wanajamii wenzangu katika hili hata namna ya kupata kazi ambayo naamini baadaye itanisaidia ku-create another income kwa sababu naamini kuwa na kipato cha ziadi mbali na kazi ya kuajiriwa siyo dhambi.
Naomba kuwasilisha.