Kazi za wahudumu wa afya ngazi ya jamii

Kazi za wahudumu wa afya ngazi ya jamii

Mkemia kay

Senior Member
Joined
Jan 25, 2020
Posts
131
Reaction score
135
Habari ndugu zangu,
Ninaomba kuuliza kuhusu hizi Ajira mpya za wahudumu wa afya ngazi ya jamii zilizotangazwa na Tamisemi kwa mtu mwenye uelewa
1. Kiwango cha mshahara ni bei gani?
2. Kama mtu Una degree nyingine tu unaweza kujificha ukatulia tu cheti chako cha form four kuomba kama ilivyoelekezwa?
3. Je ni Ajira za kudumu Tamisemi kwamba utakuwa mtumishi maisha yako yote mpaka kusitaafu?
4. Je ukishakuwa huko utapata nafasi ya kujiendeleza kiellimu au kama ndo ivo umeomba ukiwa na elimu yako utapata nafasi ya kuonesha elimu yako ukapanda viwango

Tafadhari naomba msaada kwa mwenye uzoefu na aya mambo
 
Kwa jinsi Tangazo lilivyokaa.. sijaona organization nzr ya contents zenye maana.

Mfano hiyo hoja ya ELIMU kuna watu wenye Masters wataomba hizo kazi za form4.

Watapunguza nafasi kwa wale walengwa..

Ni vipi watazuia hilo lisitokee?

Njia nyepesi ni kubana Umri tu.. chini ya miaka 22-20 hapo.
 
Habari ndugu zangu,
Ninaomba kuuliza kuhusu hizi Ajira mpya za wahudumu wa afya ngazi ya jamii zilizotangazwa na Tamisemi kwa mtu mwenye uelewa
1. Kiwango cha mshahara ni bei gani?
2. Kama mtu Una degree nyingine tu unaweza kujificha ukatulia tu cheti chako cha form four kuomba kama ilivyoelekezwa?
3. Je ni Ajira za kudumu Tamisemi kwamba utakuwa mtumishi maisha yako yote mpaka kusitaafu?
4. Je ukishakuwa huko utapata nafasi ya kujiendeleza kiellimu au kama ndo ivo umeomba ukiwa na elimu yako utapata nafasi ya kuonesha elimu yako ukapanda viwango

Tafadhari naomba msaada kwa mwenye uzoefu na aya mambo
Sio ajira za kudumu ni nkama za kujitolea lakini kuna kaposho watakua wanapata ni mradi unafadhiliwa,ukiisha ndo mwisho wake ndo maana ata 55 years wanaomba
Ata ukiwa na leaving certificate tu bado unapata according to Tangazo kwa mwenye elimu kubwa haikufai
 
Sio ajira za kudumu ni nkama za kujitolea lakini kuna kaposho watakua wanapata ni mradi unafadhiliwa,ukiisha ndo mwisho wake ndo maana ata 55 years wanaomba
Ata ukiwa na leaving certificate tu bado unapata according to Tangazo kwa mwenye elimu kubwa haikufai
Hapana, CHW wanaajiriwa permanent sasa. Na serikali imediklea kuwaajiri 53000 na inatakiwa kila Kijijiau mtaa wawepo at least watatu. Huu ni mpango wa universal health coverage
 
Jamani mbona sekta ya uhandisi hawatangazi Ajira?
 
Hapana, CHW wanaajiriwa permanent sasa. Na serikali imediklea kuwaajiri 53000 na inatakiwa kila Kijijiau mtaa wawepo at least watatu. Huu ni mpango wa universal health coverage
Utarudi hapa wakipewa hiyo mikataba maana unachoongea ni tofauti,na si watatu ni wawili ke na me
Huu ni mradi tu unafadhiliwa,uliona wapi mtu mwenye 55 year akaajiriwa permanent? Huyo si ana 5 year ya koma utumishi,fuatilia vizuri kwenye chanzo chako
 
Utarudi hapa wakipewa hiyo mikataba maana unachoongea ni tofauti,na si watatu ni wawili ke na me
Huu ni mradi tu unafadhiliwa,uliona wapi mtu mwenye 55 year akaajiriwa permanent? Huyo si ana 5 year ya koma utumishi,fuatilia vizuri kwenye chanzo chako
Mradi huo una muda gani na unalenga kupunguza makali ya ugonjwa gani?
 
Mradi huo una muda gani na unalenga kupunguza makali ya ugonjwa gani?
Unajua majukumu ya muhudumu wa afya ngazi ya jamii?
Ata sasa wapo ila wanajitolea tu bure kwa sasa watapata posho kwa kila mwezi na semina za mara kwa mara
 
Unajua majukumu ya muhudumu wa afya ngazi ya jamii?
Ata sasa wapo ila wanajitolea tu bure kwa sasa watapata posho kwa kila mwezi na semina za mara kwa mara
Hao wako chini ya mashirika binafsi. Moja kati ya shirika linalogusa idad kubwa ya hao ni BMF, AFYATEK na THPS, hayo ni giant kwa hapa tz mana hata mdh Haina wengi Kam hayo.

Na ndio mana nikakuuliza wapi ni Toshio mpaka serikali kuingilia kati mkakati huu kuajiri wa kwake?. Hawa ni wachache sana vijijini na wanafanya kaz kwenye mazingira magum sana Wengine hata hizo posho hawapati.

Kumekuwa na matokeo chanya sna kupitia hao watu ngazi ya jamii hasa vijijini. Wengi Wana exciting stories na mwaka jana kipindi Niko ngo Moja hapa nikiwa katika Tanzania health summit 4_6 October nimeona waziri wa afya nchini alilizungumzia hili, hata mchengerwa alilisema. So, hii ni kesi ya vipaumbele vya UHC
 
Kama ni mradi useme mradi huo una vipaumbele gani na wa miaka mingapi?. Mana serikali inataka kuboresha health care katika primary settings. Na hao ndo wadau wa kusetalaiti majumbani KUSAIDIWA wagonjwa kupata dawa au kudiscover new cases. Unajua Marburg iliishaje kagera?
 
Habari ndugu zangu,
Ninaomba kuuliza kuhusu hizi Ajira mpya za wahudumu wa afya ngazi ya jamii zilizotangazwa na Tamisemi kwa mtu mwenye uelewa
1. Kiwango cha mshahara ni bei gani?
2. Kama mtu Una degree nyingine tu unaweza kujificha ukatulia tu cheti chako cha form four kuomba kama ilivyoelekezwa?
3. Je ni Ajira za kudumu Tamisemi kwamba utakuwa mtumishi maisha yako yote mpaka kusitaafu?
4. Je ukishakuwa huko utapata nafasi ya kujiendeleza kiellimu au kama ndo ivo umeomba ukiwa na elimu yako utapata nafasi ya kuonesha elimu yako ukapanda viwango

Tafadhari naomba msaada kwa mwenye uzoefu na aya mambo



Mkuu weka hilo tangazo mkuu tuone
 
Tangazo hilo
 

Attachments

  • 20240406_162231.jpg
    20240406_162231.jpg
    198.9 KB · Views: 58
  • 20240406_162242.jpg
    20240406_162242.jpg
    204.6 KB · Views: 72
  • 20240406_162505.jpg
    20240406_162505.jpg
    139.7 KB · Views: 68
peleka kwa mkurugenzi wa wilaya yako kwenye kata/mtaa unafata barua ya uthibitisho..

vile vile angalia kama halmashauri yako ipo kwenye orodha. maana wameanza na mikoa miwili kila mkoa halmashauri mbili
 
peleka kwa mkurugenzi wa wilaya yako kwenye kata/mtaa unafata barua ya uthibitisho..

vile vile angalia kama halmashauri yako ipo kwenye orodha. maana wameanza na mikoa miwili kila mkoa halmashai
peleka kwa mkurugenzi wa wilaya yako kwenye kata/mtaa unafata barua ya uthibitisho..

vile vile angalia kama halmashauri yako ipo kwenye orodha. maana wameanza na mikoa miwili kila mkoa halmashauri mbili
INAMAANA TUNAPELEKA BARUA NA DOCUMENTS ZETU WILAYANI,,, KWENYE HUKU KWENYE KATA NI BARUA YA UTAMBULISHO TU?
 
Back
Top Bottom