tanzaniayetusote
Member
- Oct 20, 2020
- 42
- 32
Jamani hebu tujaribu kuorodhesha kazi zenye laana hapa Tanzania kutokana na majukumu ya kazi husika. Tusiweke kazi haramu kama uchangudoa, ujambazi, n.k.
Tutaje zile ambazo ni halali.
Tutaje zile ambazo ni halali.