Kazi zenye laana Tanzania

Kazi zenye laana Tanzania

Joined
Oct 20, 2020
Posts
42
Reaction score
32
Jamani hebu tujaribu kuorodhesha kazi zenye laana hapa Tanzania kutokana na majukumu ya kazi husika. Tusiweke kazi haramu kama uchangudoa, ujambazi, n.k.

Tutaje zile ambazo ni halali.
 
Back
Top Bottom