Kazi zenye laana Tanzania

Joined
Oct 20, 2020
Posts
42
Reaction score
32
Jamani hebu tujaribu kuorodhesha kazi zenye laana hapa Tanzania kutokana na majukumu ya kazi husika. Tusiweke kazi haramu kama uchangudoa, ujambazi, n.k.

Tutaje zile ambazo ni halali.
 
Polisi,soma kichekesho Sisi tunamtafuta mtu mwingine lakini mnachukua gari Yake , laptop Yake ufafanuzi huu ni kichekesho cha mwaka huko CCP moshi wanafundisha nini!!!😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…