vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,310
- 865
Naomba kuuliza kwa aliyeomba au aliyeajiriwa mahakamani...barua ya kuombea kazi na cv ni bora ziwe katika lugha ya kiswahili au kiingereza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia englishNaomba kuuliza kwa aliyeomba au aliyeajiriwa mahakamani...barua ya kuombea kazi na cv ni bora ziwe katika lugha ya kiswahili au kiingereza
Makamu wa rais aliahasema lugha ya mawasiliano serikalini iwe kiswahiliNaomba kuuliza kwa aliyeomba au aliyeajiriwa mahakamani...barua ya kuombea kazi na cv ni bora ziwe katika lugha ya kiswahili au kiingereza
Si kuna maelekezo yote jamani😭😭😭Naomba kuuliza kwa aliyeomba au aliyeajiriwa mahakamani...barua ya kuombea kazi na cv ni bora ziwe katika lugha ya kiswahili au kiingereza
Usimdanganye mwenzako tafadhali.Si kuna maelekezo yote jamani😭😭😭
Tumia kiswahili tu hakuna anayesoma barua siku hizi
Yes hili ndilo swali la msingi na ht Mm hua naangalia lugha ya tangazo limetokaje.Tangazo lilitokaje?
Tulifanya hivo. WakatiYes hili ndilo swali la msingi na ht Mm hua naangalia lugha ya tangazo limetokaje.
Tangazo likiwa kwa Kiswahili hapo nitaandika kwa Kiswahili labla ukitaka mbwembwe ndio utaandika Kingereza
Tangazo likiwa kwa Kingereza hapo nitaandika Kingereza tuu.
Kwahy hapo ndio umejibu swali?Andika Kwa kiswahili au kiingereza.
Una akili au huna?... Kwani yeye kaulizaje?, kauliza kuhusu barua na CV aandike Kwa lugha ipi, Kwa nature ya tangazo aliloliulizia ni kwamba aamue yeye kuandika Kwa kiswahili au kiingereza, maana yangu ni kwamba Wala asijipe presha kuhusu lugha gani ya kutumia (kingereza au kiswahili)...tangazo Hilo la kazi mahakamani aamue yeye tu...THINK BIG.Kwahy hapo ndio umejibu swali?
Yeye kauliza aandike kwa Kiswahili au Kiingereza halafu na ww unakuja kumwambia andike kwa Kiswahili au Kiingereza, sasa hapo jibu lako liko wapi?Una akili au huna?... Kwani yeye kaulizaje?, kauliza kuhusu barua na CV aandike Kwa lugha ipi, Kwa nature ya tangazo aliloliulizia ni kwamba aamue yeye kuandika Kwa kiswahili au kiingereza, maana yangu ni kwamba Wala asijipe presha kuhusu lugha gani ya kutumia (kingereza au kiswahili)...tangazo Hilo la kazi mahakamani aamue yeye tu...THINK BIG.
Wao wenyewe mahakamani hukuambia andika Kwa kiswahili au kingereza, mfano Kwa tangazo la kazi la tume ya utumishi ya mahakama (nadhani anamaanisha hili mtoa mada) ni aidha uandike Kwa kiswahili au kingereza, utakavyoona inafaa...general conditions zao ni kama za utumishi au taasisi nyingi za serikali zilivyo.Yeye kauliza aandike kwa Kiswahili au Kiingereza halafu na ww unakuja kumwambia andike kwa Kiswahili au Kiingereza, sasa hapo jibu lako liko wapi?
Haya mm sina akili, vp umefurah?