nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
nenda kwenye page yao kawape story za saidoo na kisinda wanamlilia boko na morison usichelewe wazee wa kushadadia yasiyowahusu mnalililia kucheza afrika mndhani mambo ya kina asukile kuwapigia simu za kuhonga?
kwa hakika ndicho mlichobakiza hicho?wahusika wenyewe wanashangaa matambara mliyovaa mmetoa wapi wajinga wakubwa nyieAcha umama utapigwa pipe oooh.
Uta wehuka yaani ume ambiwa So? Umejibu gazetinenda kwenye page yao kawape story za saidoo na kisinda wanamlilia boko na morison usichelewe wazee wa kushadadia yasiyowahusu mnalililia kucheza afrika mndhani mambo ya kina asukile kuwapigia simu za kuhonga?View attachment 1794442
Simba 5 Kaizer Chiefs 0!
Shafii anaangalia mpunga tu , hivi na akili yangu naweza kununua jezi kwa Shafii !
yesss nimeanza kuw a mshabiki wa simba 1990 kombe la afrika mashariki na kati uko sahihi kabisa na mwaka huo nakumbuka mavumbi omary akiwatoboa utopolo goal la free kickNimefuatilia post zako tangu jana. Nimegundua ww umeanza kushabikia mpira kipindi hiki simba anashiriki kimataifa tu. Kifupi hujui mambo ya soka la Tanzania.
inasikitisha sana kununua matambala feki na kujidai ni jezi za amakhosi ,hwataki shobo za kijinga wanashangaa majinga vyura vyurani na shobo mdundo,haya sasa furaha zenu zimeisha back to malalamiko ya TFF ,subirini msimu ujao tuwaleteeni ma teams ya kutosha muandae na bajeti ya kununua jezi feki kabisa mana zitakuja nyingi tu hapaHakika mtoa post Ni Kichanga kwenye mambo ya soka hasa la hapa bongo na Ni Fwalah
kweli kabisa wale waliovaa jezi ni mashabiki nguli wa kaizer chiefs hapa bongo tunawajua kabisaMwanaume anayepigapiga screenshot huwa anatabia za kikekike, nadhani mtoa mada ni mwanamke.
Kwa sababu post yako haina uhalisia wowote kwa mazingira ya bongo. Kama kuna jezi feki za Simba na Yanga unashangaa za kaizer.? Simba mlivyoenda south hakukuwa na mashabiki zaidi ya diaspora. Kaizer imeota mizizi na mnatakiwa kuwaheshimu na kujifunza toka kwao. Wana fan base hadi nje ya nchi.
Mechi ya marudiano. matokeo yakawa vipi?yesss nimeanza kuw a mshabiki wa simba 1990 kombe la afrika mashariki na kati uko sahihi kabisa na mwaka huo nakumbuka mavumbi omary akiwatoboa utopolo goal la free kick
Hawezi kukujibu huyo. Hakuna analojua kwenye mambo ya soka la Tanzania. Zaidi ya kupopoma tu ujinga ujingaMechi ya marudiano. matokeo yakawa vipi?