Kazini kwa Ally Kamwe kuna kazi

Kazini kwa Ally Kamwe kuna kazi

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Ujio wa Manara Yanga unamnyima raha Ally, kama Ally hatauona ujio wa Manara kama faida kwake kufanyakazi na mkongwe/nguli kwenye tasnia na badala yake amuone kama adui kwake, patachimbika.

Kwakuwa ni ukweli kuwa Ally sio bora na maarufu kuliko Haji, hivyo anatakiwa kuchota uzoefu wa Haji ili kuimarisha viwango vyake kama anavyofanya Hashim Ibwe kwa Zakazakazi. Ally bado ana utoto mwingi kwenye kazi unaotakiwa kuimarika.


View: https://youtu.be/8CksVmTD1do
 
Manara ana utoto kuliko Alikamwe!
Alikamwe ni m'bunifu, ana heshima
Labda kama uzi umeandikwa na Manara
sijui kama unaongelea kitu gani, kunywa supu, kuvaa misuli au kupaka bleach? Gamondi hapendi hii ila wanamlazimisha, inawagawa wachezaji hasa wale ambae siku zao hazifiki kama vile Nkane, Musonda, Mauya, Mkude na wengine ambao hawakupewa siku zao za mechi. Kunywa supu kwa pamoja vile haitakiwi kiafya kwakuwa siku kama ikitokea tatizo kama vile food poisoning, kipindupindu au typhoid inatasababisha ugonjwa wa mlipuko (point source outbreak) kwa wanayanga wengi.
 
Manara ana utoto kuliko Alikamwe!
Alikamwe ni m'bunifu, ana heshima
Labda kama uzi umeandikwa na Manara
Manara anaweza kujaza uwanja bila kuhangaika na vigoma mitaani, hicho ndicho kipimo halisi cha ufanisi
 
Ujio wa Manara Yanga unamnyima raha Ally, kama Ally hatauona ujio wa Manara kama faida kwake kufanyakazi na mkongwe/nguli kwenye tasnia na badala yake amuone...


Manara mhuni, mropokaji, asiye na heshima wala nidhamu, tabia chafu chafu, haaminiki, hafai hata kidogo kuwa msemaji wa Yanga..!!

Umetumwaaaa wewe, acha ujinga
 
Sio kila mtu unapaswa kushindana nae ,, waliokuzid wafanye walimu wako sio washindani.
 
Manara mhuni, mropokaji, asiye na heshima wala nidhamu, tabia chafu chafu, haaminiki, hafai hata kidogo kuwa msemaji wa Yanga..!!

Umetumwaaaa wewe, acha ujinga
Wewe n thimba, tangu haji aondoke Simba kaondoka na Kila kitu kabakisha kispika TU.
 
Ally awe na subra, Bado anazo kesho nyingi kuliko haji, atulie ili aendelee kukomaa kwa kuchukua mazuri ya haji ya kumwachia Yale mabaya yake
Sio kila mtu unapaswa kushindana nae ,, waliokuzid wafanye walimu wako sio washinda
 
Mnafanya kazi sa ngapi?
Wiki nzima nyie ni kula visheti,after party futari kwenda uwanjani,kuuza jezi.
Huku wenye nji hii wanauza madini na wanyama na hadi viumbe kabila.
Nyie mko busy kuvaa misuli na kula kashata na kuizomea sijui timu gani
 
Back
Top Bottom