Kazini kwa Ally Kamwe kuna kazi

Kazini kwa Ally Kamwe kuna kazi

sijui kama unaongelea kitu gani, kunywa supu, kuvaa misuli au kupaka bleach? Gamondi hapendi hii ila wanamlazimisha, inawagawa wachezaji hasa wale ambae siku zao hazifiki kama vile Nkane, Musonda, Mauya, Mkude na wengine ambao hawakupewa siku zao za mechi. Kunywa supu kwa pamoja vile haitakiwi kiafya kwakuwa siku kama ikitokea tatizo kama vile food poisoning, kipindupindu au typhoid inatasababisha ugonjwa wa mlipuko (point source outbreak) kwa wanayanga wengi.
Japo ephen_ mrs guede kakutuhumu wewe ni Manara ila hapa umeongea point. Zile fulani day zinaleta utengano.

Hata vyakula vya umma sio vya kuvishobokea sana. Binadamu tumetofautia roho, sio kwa nia mbaya mfano inatokezea Mzee Magoma anakatizia kwenye Sufuria la Supu mnahisi nini kitatokea. Ni utoto na ukemewe.
 
Manara anaweza kujaza uwanja bila kuhangaika na vigoma mitaani, hicho ndicho kipimo halisi cha ufanisi
Hapa umepuyanga. Kinachowavuta watu uwanjani ni performance ya timu. Kwamba wewe huwezi kwenda uwanjani hadi ushawishiwe na Manara?
 
Wewe n thimba, tangu haji aondoke Simba kaondoka na Kila kitu kabakisha kispika TU.

Wewe mpuuzi, unawajua wachangiaji wa Yanga wakubwa? Huna adabu na jana nishaongea na Mwenyekiti wa Yanga kuhusu malalamiko nchi nzima watu hawamtaki Manara hata kumsikia, hivyo Ali Kamwe karudishwa, Yanga ni timu ya wananchi na inasikiliza kero zetu, sisi wengine ni wanachama wa miaka na kuchangia kila mwezi tunachangia Yanga, hatutaki upuuzi Yanga, Manara ni mpuuzi, mhuni, tapeli, haaminiki, mtu wa hovyo, tabia za firauni hatutaki Yanga, timu ya Yanga ni Timu ya watu wakubwa sana Tanzania na Africa, msemaji wake inatakiwa mtu makini na mwenye heshima yake kwanza binafsi na mwenye akili, hata ukimwangalia unasema toka moyoni huyu anafaa kuwa msemaji wa Yanga, Haji ni mhuni, mpuuzi, no discipline, mtu wa migogoro kokote aendako, asiye unganisha watu, mpigaji, his personal life ni mtu wa hovyo kabisa kwa tabia zake kajiriihirisha..!!
 
Ally Kamwe ni kama mjukuu wa saba wa Manara
 
Nitamchagua haji! Cz binadamu huwezi kumfananisha na andazi
Mwanadamu yeyote ni kitu cha thamani
Ally Kamwe sio mbaya, lakini anatumia nguvu nyingi sana kufanikisha anachotaka kiwe, mfano, kuna haja gani kwenda usiku wa manane kwenda kupokea wachezaji wanaorudi nyumbani? inaongeza nn kwenye mafanikio ya timu, au contents za online media? Je, wanafanya hivi bure au wanalipwa kuamka usiku? kama wanalipwa je, hayo ni matumizi mazuri ya mapato ya timu?

Timu inafanya vizuri kwa misimu 3 sasa, je kuna haja gani kiongozi kwenda mitaani kuita watu waende viwanjani?
 
Wewe mpuuzi, unawajua wachangiaji wa Yanga wakubwa? Huna adabu na jana nishaongea na Mwenyekiti wa Yanga kuhusu malalamiko nchi nzima watu hawamtaki Manara hata kumsikia, hivyo Ali Kamwe karudishwa, Yanga ni timu ya wananchi na inasikiliza kero zetu, sisi wengine ni wanachama wa miaka na kuchangia kila mwezi tunachangia Yanga, hatutaki upuuzi Yanga, Manara ni mpuuzi, mhuni, tapeli, haaminiki, mtu wa hovyo, tabia za firauni hatutaki Yanga, timu ya Yanga ni Timu ya watu wakubwa sana Tanzania na Africa, msemaji wake inatakiwa mtu makini na mwenye heshima yake kwanza binafsi na mwenye akili, hata ukimwangalia unasema toka moyoni huyu anafaa kuwa msemaji wa Yanga, Haji ni mhuni, mpuuzi, no discipline, mtu wa migogoro kokote aendako, asiye unganisha watu, mpigaji, his personal life ni mtu wa hovyo kabisa kwa tabia zake kajiriihirisha..!!
Upuuzi wako uko hapa "nchi nzima watu hawamtaki Manara hata kumsikia". Hao watu umekutanana nao wapi wakakuambia hivyo? Walikuwa wangapi, wanaume wangapi na wanawake walikuwa wangapi? ujinga kama huu sio wa karne hii. Haji Manara alifungiwa lakini alipotokea kiwanjani ile siku ya mwananchi kila mtu alilipuka kwa furaha na shwangwe na kuiokoa sherehe iliyokuwa inasuasua. Siku Manara alipotambulishwa Yanga kama msemaji watu wooote walilipuka kwa mayowe na vifijo. Ongea kwa takwimu mjinga wewe!!
 
Juzi msukule kasema Ally Kamwe ajiandae kupata magonjwa mawili, kushushwa mshipa au kutolewa bawasiri aone kama atakaaje kwenye hicho kiti.
 
Back
Top Bottom