Kazini kwako hakuna sehemu ya karibu ya kupata lunch? Pata bufee hadi ofisini kwako

Kazini kwako hakuna sehemu ya karibu ya kupata lunch? Pata bufee hadi ofisini kwako

Wazo zuri. na mimi natamani ningeweza kupata huduma kama hiyo. Ofisini kwetu wanaleta lakini ni mkate tu yenye vinyama na cheese. I wish ningeweza kupata huduma yako. Keep it up
Kama unatamani huduma hii ipo ni pm tuu nitakuunganisha
 
kwanini usilete masaki badala ya posta siye tunahitaji njoo huku achana na watu wasio na michango watakukatisha tamaa bureeee
ni pm nikupe contact uje
ahsante mpenzi nimeshaku pm soma mamy
 
watu wa humu wanauzi yaan wanajibu sijui utafikiri ni nini..............hongera my dear i love that business too,ukiweza uwe unapack kabisa unakuwa na ofisi zako maalumu unachukua oda asbh kwa simu then saa saba mchana unawapelekea.....kupakua barabarani ishu watu wengine wavivu kutoka ofisini wanapenda wapelekewe.
 
Hongera Sana mkuu kwa ujasiriamali nakupongeza sana. Je Waweza extend hunduma yako hadi kitaa cha kkoo? Kwa kweli kuhusu bei naona uko very cheap, sijui hali ya ubora na usafi wa buffer yako.
 
Back
Top Bottom