watu wa humu wanauzi yaan wanajibu sijui utafikiri ni nini..............hongera my dear i love that business too,ukiweza uwe unapack kabisa unakuwa na ofisi zako maalumu unachukua oda asbh kwa simu then saa saba mchana unawapelekea.....kupakua barabarani ishu watu wengine wavivu kutoka ofisini wanapenda wapelekewe.