Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Kazungula ni mpaka uliopo kati ya Zambia na Botswana hili eneo limetenganishwa na mto Zambezi.
Kwa ukanda huu wa Nchi za SADC hakuna boarder post iliyojengwa kwa ubora na kila eneo la wasafiri kutenganishwa kama hapo Kazungula.
Lipo eneo tofauti na madereva wanaoendesha malori na wanagonga Passport zao eneo lao na pia abiria wa Bus na magari binafsi eneo lao.
Huduma za choo zipo za kutosha na safi pia lipo eneo la restaurant na Bank na WiFi inapatikana.
Na pia ni boarder yenye usalama kwa mali za wasafiri magari au mizigo itakayotunzwa hapo ni mara chache sana kupotea.
Kwa ukanda huu wa Nchi za SADC hakuna boarder post iliyojengwa kwa ubora na kila eneo la wasafiri kutenganishwa kama hapo Kazungula.
Lipo eneo tofauti na madereva wanaoendesha malori na wanagonga Passport zao eneo lao na pia abiria wa Bus na magari binafsi eneo lao.
Huduma za choo zipo za kutosha na safi pia lipo eneo la restaurant na Bank na WiFi inapatikana.
Na pia ni boarder yenye usalama kwa mali za wasafiri magari au mizigo itakayotunzwa hapo ni mara chache sana kupotea.