KBC mnashindwa wapi?

KBC mnashindwa wapi?

Nakumbuka wakati ule Obama alichaguliwa The Republic of Kenyatta walifabya public holiday, Halafu wamarekani wenyewe hata hawakufanya public Holiday,
Hapo nilijua Wakenya ni Kamasi tupu vichwani.
Sasa point yako ni ipi haswa, kwamba Obama ni mzungu? Au kwamba holiday ilikuwa ya kujipendekeza kwa wazungu/U.S kupitia Obama ambaye hata hakuwa ameapishwa? Kwa taarifa yako Mwai Kibaki na wakenya walikuwa wanajivunia kwamba historia mpya iliandikwa nchini marekani na mtu ambaye babake alikuwa mkenya. Mtu ambaye ana kaka, dada, shangazi, wajomba na hadi bibi nchini Kenya.
220px-Barack_Obama's_Kenyan_relatives.jpg
 
Hadi pale mtakapoweza kutenganisha utaifa na rangi ya ngozi/asili ya watu husika ndio upumbavu na ushamba utakuwa umewatoka akilini. Hivi aliyeapishwa jana kama makamu wa rais, Kamala Harris, mtamuita beberu, mwafrika, mhindi au mmarekani? Sio kila jambo la nchi ya Marekani linahusu mzungu, acheni ushamba. Asilimia kubwa ya waliowapigia kura Biden/Harris ni watu weusi. Watu wakitizama hafla ya kuapishwa kwa Biden wanafatilia matukio ya nchi ya Marekani sio wazungu, waafrika, wahindi n.k, n.k. Stesheni za Tv nazo zinawapa watazamaji wao kile ambacho wanataka. Hafla yenyewe ilirushwa live na media zote za kutajika, CNN, BBC, France24 ya mfaransa, NHK World ya mjapani, CGTN ya mchina hadi na Aljazeera ya muarabu. Alafu jombaa mbona usitizame CHAN kwenye stesheni yenu pendwa TBC kama nyie ndio mnajitambua zaidi? Mbona unakosa uzalendo wa kutazama taarabu 24/7 kama ambavyo serikali yako imekupangia? Unafata nini kwenye michuano ya CHAN na KBC wakati kuna content za kutazama ambazo ni za kitanzania kwa 100%?
Nionyeshe station za Nigeria, Ghana, Uganda etc zilizo broadcast live . Achana na hao Dw , sijui BBC hao wote ni mabeberu agenda yao ni mmmoja.
 
halafu obama akawa na state visit to Tanzania before kenya. wajaluo wanabaguliwa sana kenya, mjaluo akiwa raisi wa marekani anaonekana wa maana, ukabila ni upumbavu usiokuwa na kipimo. POOR KENYANS
Ukichaa ni kujikanganya kwa kuwaponda wakenya, huku ukiwaringia kwamba rais wa 'mabeberu' alizuru Tz kabla ya Kenya. [emoji1]
 
Nakumbuka wakati ule Obama alichaguliwa The Republic of Kenyatta walifabya public holiday, Halafu wamarekani wenyewe hata hawakufanya public Holiday,
Hapo nilijua Wakenya ni Kamasi tupu vichwani.
Kama stesheni zetu ni mbovu, mbona munaziangalia nasi hatuangalii zenu? Saa zingine nyinyi huongea kama watu hawana akili kabisa. 😂 😂 😂 😂
 
Huku umejiita CARIFONIA tena kwa herufi kubwa. Umeacha kujiita MTOGOLE au CHATO. Nimeamini Kweli nyani haoni kundule
Exactly, Mbona sijiite Dodoma au Mwanza? Watanzania wengine humu utawakuta wakila chipsi huku wakisema viazi sii chakula.😂😂
 
Wanaonyesha kupotia ZBC2..huyo hajafanya research tu... Then kwa nini wakenya mnajipendekeza pendekeza kwa mabwana zetu hadi mnatia aibu. Utu wenu uko wapi. Shame
Mbona basi munaziangalia stesheni za Kenya nasi hatuangalii zenu? Kisha muanzisha mada anajiita CARIFONIA tena kwa herufi kubwa? Tumieni akili bradhee.😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom