pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Sasa point yako ni ipi haswa, kwamba Obama ni mzungu? Au kwamba holiday ilikuwa ya kujipendekeza kwa wazungu/U.S kupitia Obama ambaye hata hakuwa ameapishwa? Kwa taarifa yako Mwai Kibaki na wakenya walikuwa wanajivunia kwamba historia mpya iliandikwa nchini marekani na mtu ambaye babake alikuwa mkenya. Mtu ambaye ana kaka, dada, shangazi, wajomba na hadi bibi nchini Kenya.Nakumbuka wakati ule Obama alichaguliwa The Republic of Kenyatta walifabya public holiday, Halafu wamarekani wenyewe hata hawakufanya public Holiday,
Hapo nilijua Wakenya ni Kamasi tupu vichwani.
Nionyeshe station za Nigeria, Ghana, Uganda etc zilizo broadcast live . Achana na hao Dw , sijui BBC hao wote ni mabeberu agenda yao ni mmmoja.Hadi pale mtakapoweza kutenganisha utaifa na rangi ya ngozi/asili ya watu husika ndio upumbavu na ushamba utakuwa umewatoka akilini. Hivi aliyeapishwa jana kama makamu wa rais, Kamala Harris, mtamuita beberu, mwafrika, mhindi au mmarekani? Sio kila jambo la nchi ya Marekani linahusu mzungu, acheni ushamba. Asilimia kubwa ya waliowapigia kura Biden/Harris ni watu weusi. Watu wakitizama hafla ya kuapishwa kwa Biden wanafatilia matukio ya nchi ya Marekani sio wazungu, waafrika, wahindi n.k, n.k. Stesheni za Tv nazo zinawapa watazamaji wao kile ambacho wanataka. Hafla yenyewe ilirushwa live na media zote za kutajika, CNN, BBC, France24 ya mfaransa, NHK World ya mjapani, CGTN ya mchina hadi na Aljazeera ya muarabu. Alafu jombaa mbona usitizame CHAN kwenye stesheni yenu pendwa TBC kama nyie ndio mnajitambua zaidi? Mbona unakosa uzalendo wa kutazama taarabu 24/7 kama ambavyo serikali yako imekupangia? Unafata nini kwenye michuano ya CHAN na KBC wakati kuna content za kutazama ambazo ni za kitanzania kwa 100%?
Ukichaa ni kujikanganya kwa kuwaponda wakenya, huku ukiwaringia kwamba rais wa 'mabeberu' alizuru Tz kabla ya Kenya. [emoji1]halafu obama akawa na state visit to Tanzania before kenya. wajaluo wanabaguliwa sana kenya, mjaluo akiwa raisi wa marekani anaonekana wa maana, ukabila ni upumbavu usiokuwa na kipimo. POOR KENYANS
Mjinga mama yakoWhich kenyan even watches kBC. Watz ni wajinga
Kama stesheni zetu ni mbovu, mbona munaziangalia nasi hatuangalii zenu? Saa zingine nyinyi huongea kama watu hawana akili kabisa. π π π πNakumbuka wakati ule Obama alichaguliwa The Republic of Kenyatta walifabya public holiday, Halafu wamarekani wenyewe hata hawakufanya public Holiday,
Hapo nilijua Wakenya ni Kamasi tupu vichwani.
Exactly, Mbona sijiite Dodoma au Mwanza? Watanzania wengine humu utawakuta wakila chipsi huku wakisema viazi sii chakula.ππHuku umejiita CARIFONIA tena kwa herufi kubwa. Umeacha kujiita MTOGOLE au CHATO. Nimeamini Kweli nyani haoni kundule
Mbona basi munaziangalia stesheni za Kenya nasi hatuangalii zenu? Kisha muanzisha mada anajiita CARIFONIA tena kwa herufi kubwa? Tumieni akili bradhee.ππππWanaonyesha kupotia ZBC2..huyo hajafanya research tu... Then kwa nini wakenya mnajipendekeza pendekeza kwa mabwana zetu hadi mnatia aibu. Utu wenu uko wapi. Shame
Hahahaha!!kenya haikwepeki jomba[emoji23][emoji23]Angalia ZBC2 mkuu, wanarusha
Kwa lipi? Labda nije Mombasa unipe gemu.Hahahaha!!kenya haikwepeki jomba[emoji23][emoji23]