Balantanda,
Huyo anaitwa Fidela. Nasikia alikuwa anatafuta MUME. Fidela ni mtoto wa Kisukuma yule Nkwingwa na kama hujaowa, basi utakuwa nyumbani.
Hata kama umeowa, sisi ngosha mke mmoja wapi na wapi?
Julius, mcheki Nsia kwenye Hi5 kama wewe ni member.