Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,400
KCMC imebaki jina tu, hospitali hii pendwa kwa miongo kadhaa sasa nakiri mbele ya umma, labda nipelekwe sijitambui ila kwa huduma nilizopata na kushuhudia kwa wateja wengne, hakika huu ndio mwisho wangu kutia miguu hospitali hii.
1. Customer care mbovu, hawajali wagonjwa /wateja.
Madaktari wengne wanafoka bila sababu za msingi, wewe daktari uliyenifokea kisa nimekaa kwenye kiti tofsuti na ulichotaka pasipo kufaham nimekusamehe bure.
2. Kujuana kwingi, mtu amekuja saa 1 asubuhi anapewa namba 70 mwingne anakuja saa 6 anapewa namba 40, yaani wewe unapita mizunguko ya kutosha ila wengne wanakuja na kupata huduma ukishangaa kwenye bench.
3. Wahudumu/ madaktari wengi nlowaona ni vijana wadogo wadogo tu, hawako serious wanapiga stori za kubeti na kombe la dunia tu[emoji848]
4. Vipimo vya mchongo, baada ya kumwona daktari anakushauri kuchukua kipimo kingne kwa daktari mwingne anakutajia na pesa umpe, la ajabu zile pesa zinachukuliwa kwa siri na risiti hakuna.
5. No privacy, inakuaje hospitali kubwa kama hii wagonjwa mnasikilizwa kwa pamoja km mko darasani?
6. Mgonjwa anaumwa macho anaambiwa aende arudi siku nyingne muda umekwisha akati ameshinda hospitali tangu asubuhi, eti akameze paracetamol km ana maumivu.
Wewe dada uliyekuwa chumba cha miwani tareh 25-11-2022 saa 11 jioni Mungu akusamehe hukustahili kuwa muhudumu wa afya kabisa.
7. Huduma moja nimetajiwa bei mbili tofauti na wahudumu wawili tofauti tena chumba hicho hicho, tofautivya elfu 30, is it possible?
8. Hospitali ya rufaa haina lens ya miwani kweli hadi waagize tena nisubiri miezi miwili[emoji848]
9. Mgonjwa unatibiwa hupewi maelezo ya tatizo lako kwa ufasaha na hupewi document yoyote kuhusu majibu ya vipimo, taarifa zinabaki kwenye computer zao, huu ni uungwana?
10. Mapokezi naulizwa dini yangu ili nini? Kwamba huduma za afya zinachagua dini???
NB. Nimeandika kwa ufupi tu ila hayo ni baadhi ya mambo yaliyonisibu KCMC na kunifanya niamue rasmi kuipa kisogo hii hospitali.
Sina ubaya na mtu yeyote anayehusika na hospitali hii na wala simfahamu yeyote ila nawasihi watumishi tuheshimu mahali pa kazi.
1. Customer care mbovu, hawajali wagonjwa /wateja.
Madaktari wengne wanafoka bila sababu za msingi, wewe daktari uliyenifokea kisa nimekaa kwenye kiti tofsuti na ulichotaka pasipo kufaham nimekusamehe bure.
2. Kujuana kwingi, mtu amekuja saa 1 asubuhi anapewa namba 70 mwingne anakuja saa 6 anapewa namba 40, yaani wewe unapita mizunguko ya kutosha ila wengne wanakuja na kupata huduma ukishangaa kwenye bench.
3. Wahudumu/ madaktari wengi nlowaona ni vijana wadogo wadogo tu, hawako serious wanapiga stori za kubeti na kombe la dunia tu[emoji848]
4. Vipimo vya mchongo, baada ya kumwona daktari anakushauri kuchukua kipimo kingne kwa daktari mwingne anakutajia na pesa umpe, la ajabu zile pesa zinachukuliwa kwa siri na risiti hakuna.
5. No privacy, inakuaje hospitali kubwa kama hii wagonjwa mnasikilizwa kwa pamoja km mko darasani?
6. Mgonjwa anaumwa macho anaambiwa aende arudi siku nyingne muda umekwisha akati ameshinda hospitali tangu asubuhi, eti akameze paracetamol km ana maumivu.
Wewe dada uliyekuwa chumba cha miwani tareh 25-11-2022 saa 11 jioni Mungu akusamehe hukustahili kuwa muhudumu wa afya kabisa.
7. Huduma moja nimetajiwa bei mbili tofauti na wahudumu wawili tofauti tena chumba hicho hicho, tofautivya elfu 30, is it possible?
8. Hospitali ya rufaa haina lens ya miwani kweli hadi waagize tena nisubiri miezi miwili[emoji848]
9. Mgonjwa unatibiwa hupewi maelezo ya tatizo lako kwa ufasaha na hupewi document yoyote kuhusu majibu ya vipimo, taarifa zinabaki kwenye computer zao, huu ni uungwana?
10. Mapokezi naulizwa dini yangu ili nini? Kwamba huduma za afya zinachagua dini???
NB. Nimeandika kwa ufupi tu ila hayo ni baadhi ya mambo yaliyonisibu KCMC na kunifanya niamue rasmi kuipa kisogo hii hospitali.
Sina ubaya na mtu yeyote anayehusika na hospitali hii na wala simfahamu yeyote ila nawasihi watumishi tuheshimu mahali pa kazi.