Ndio hapo sasa. Anakubali kwamba tatizo liliisha hadi leo lkn mume bado analalamikando maana walichukua vipimo daktari anaju njia bora ya kutuliza tatizo,au mtu atundikiwe drip ndo uridhike?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hapo sasa. Anakubali kwamba tatizo liliisha hadi leo lkn mume bado analalamikando maana walichukua vipimo daktari anaju njia bora ya kutuliza tatizo,au mtu atundikiwe drip ndo uridhike?
Dah umenikumbusha mbali sana yule zeruzeru tulikuwa tunamwogopa alikuwa anakuja mitaa ya kalimani,pasua nk tulikuwa tunajifungia ndani wakati huo ni watoto.Kulikuwa na zeruzeru miaka ya nyuma mhudumu wa mortuary hapo KCMC alikuwa anagonga sana maiti za kike. Jamaa naye alifarikigi.
Kubetia ofisini saa za kazi mbele ya wagonjwa?Kuwa Daktari hakumzuii kubet as long kubet Tanzania ni legal hayo ni maisha yake binafsi nenda mawenzi uone
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji6]!Kama ilikuwa inatolewa bure si ndio ungelipizia bei ya dawa ya mswaki
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Mtoa mada amesema walikua wanapiga stori za kubet na sio kubet Kuna ubaya ganiKubetia ofisini saa za kazi mbele ya wagonjwa?
Dr kisenge ulikuwa unamtafutia wapi humpati mkuu? Kisenge karibia clinic zangu zote ndio kanihudumia kule OPD muhimbili na kwenye ECHO ndio nilikuwa namkuta sasa nashangaa wewe ulikuwa humpati wapi?Mfano dokta kisanga ambaye sahivi ni mkurugenzi wa jakaya kikwete cardiac institute yule jamaa kumpata ilikua ni mbinde Kuna mda inabidi utumie njia za kirahamia hivi hivi unampataje alikua na lundo la wagonjwa
Sio maarufu sana kama hizo tajwa, ila muda c mrefu nayo itatajwa tu mkuu tuliarufaa mbeya mbeya,haimo eti,au ukubwa wa majengo?
BMC uhuni wote aliuondoa JPM basi yeye ndio alileta Mkurugenzi Prof Makubi na sasa ndio Katibu mkuu wizara ya afya akawabinya wahuni wachache mapato yakapanda sana, Hospitali ikafanya maboresho makubwa kuanzia mazingira hadi upande wa hudumaPale Bugando nilipewa huduma nzuri sana ya upasuaji 2020 . Nikamwambia jamaa yangu kumbe watu wa Mwanza mpo motivated sana na hii hospitali.
Jamaa akaniambia ,aliyebadili mfumo wa hii Hosp ni JPM . Hapa kulikuwa na harufu za kujuana na rushwa.
Daah! Nashukuru MUNGU sikupitia kipindi kigumu
Kisenge amekuwepo Muhimbili hata hiyo JKCI haijaanza hata msingi tu, Yeye pamoja na Prof Janabi, Dr Mvungi wamenihudumia sana tatizo langu la moyo now niko njema namshukuru MunguExactly ni kisenge anajua kinoma mambo ya moyo assume alikua ni muajiriwa wa jkci na ana clinic muhimbili
Ndio nilikua simpati kama wewe ulikua unampata ni weweDr kisenge ulikuwa unamtafutia wapi humpati mkuu? Kisenge karibia clinic zangu zote ndio kanihudumia kule OPD muhimbili na kwenye ECHO ndio nilikuwa namkuta sasa nashangaa wewe ulikuwa humpati wapi?
Kwa kukusaidia dr kisenge alikua kcmc hata kabla hajaja muhimbili amefanya sana kazi kcmc miaka ya nyumaKisenge amekuwepo Muhimbili hata hiyo JKCI haijaanza hata msingi tu, Yeye pamoja na Prof Janabi, Dr Mvungi wamenihudumia sana tatizo langu la moyo now niko njema namshukuru Mungu
Wanataka ukienda sehemu ingine uanze upyaa..vipimo na matibabu..tena sehemu nyingine wanakwambia kabisa kuwa hawaamini hayo majibu ya uko ulipotoka😂😂Hiyo namba 9 ipo hospitali nyingi tu.
Sijui wanataka nini hawa madaktari?
Au hawataki tupate matibabu hospitali nyingine kupitia vipimo vyao? 🙄
Hahahahaaaaaaa ni Mimi boss wangu,hahahaaaaaaKuna kijana anaitwa -----Mcharo, yupo hapo pharmacy ya juu ghorofa ya kwanza! Siku nikibarikiwa kupata hata gobole ntarudi kumtafuta nimsalimie!!
Na ndio kasoma hapo Kisenge!!Kwa kukusaidia dr kisenge alikua kcmc hata kabla hajaja muhimbili amefanya sana kazi kcmc miaka ya nyuma