KDF amphibious attack was the first by an African military

Aki tanzania msiwahii sumbua kenya!! Hayo ndio yanafaa kuwa maombi yenu!!!


Ingieni thread za kisomali ndio mjue kwanini kwa majeshi zote zilizopo somalia wakenya pekee ndio wanao chukiwa mno!! Si kwasababu tunakula biskuti na maji tukinyima wasomali!!!


Hamtaskia ushindi wa kdf toka somalia mtaskia tutakapo pigwa lakini ingieni somalia threads msome mambo kdf inafanya somalia na muombe tusije tanzania hamtapenda
 
Mkenya have ever heard about anjuani accomplished by Tanzanian forces?

If yes, futa usemi wako Kenya ni ya kwanza kufanya aphibious attack in Africa
Nothing to write home about. Comoros was so military weak that a couple of well armed men could carry out a succesful coup. Remember the mercenery Bob Denard and his exploits in Comoro?
 
kitu pekee ninachowaheshimu wakenya ni biashara na wengi kuwa wameenda shule, kwakweli kwa hapo wametupita mbali sana watz. ila kwa jeshi, polisi, hata mgambo tu, wako nyuma sana kiuwezo, mafunzo, morali, utaifa n.k, ndio maana huwa sio tishio kwa yeyote yule, hakuna mtu anamwogopa askari mkenya..ni kichekesho fulani hivi.
 
Unajisifia kuwaonea wachovu wale...
 
Pale garisa mwaka Jana kulikuwa na wanamgambo wa5 wenye ak47, ila majamaa ya kdf yalienda na tanks aisee.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hebu tupatie link moja..most of them are in Somalian language..
 

Kaibeni pedi supermarket...hicho mnaweza kufanya kwa ufasaha
 
Wajaribuni JWTZ [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…