KDF amphibious attack was the first by an African military

KDF amphibious attack was the first by an African military

Yeah

Hapi ongezea marekani, ufaransa ,uturuku, uchina


Tuko pale juu .....tunapigana vitani hatupasui matofali
Hapana bwana, hao jamaa maharamia wa somalia hata viatu tu hawana, ile siku kdf walitoka kituko cha century baada ya kwenda na tanks pale garisa as if wanaenda battlefield. [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hapana bwana, hao jamaa maharamia wa somalia hata viatu tu hawana, ile siku kdf walitoka kituko cha century baada ya kwenda na tanks pale garisa as if wanaenda battlefield. [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
And some how they are the fifth most deadly millitants in the world
After

Isis
Alqaeda maghreb
Taliban
Boko haram
Alshabaab


Where is m23 on that list???
 
ati Somalis pure bred and better than bantus??..sh#@$t..Where would those skinnies be at without Kenya??Here is one lady that appreciates that she is alive because her parents came to Kenya to such for BETTER LIFE

Got that from one of their forums.
 
And some how they are the fifth most deadly millitants in the world
After

Isis
Alqaeda maghreb
Taliban
Boko haram
Alshabaab


Where is m23 on that list???
Vipi kuhusu kwenda na tanks garisa
Was they planning to bomb the campus ama [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mimi nachekaga sana napoona wale jamaa wanaovaa misuli na yeboyebo wanavyowazingua hao Jeshi chovu la kdff
watu wamechanganyikana na raia bana siyo rahisi kupigana nao...simuwaambie wajitoe tuone nani ndo atakuwa mbabe
 
Haya sii maneno ya kujivunia hata kidogo.

Tutajieni mafanikio yenu kijeshi.
Linganisha na hii hapa.

Tulimchapa Idd Amin.
Tuliirudisha madarakani serikali halali iliyopinduliwa na waasi visiwa vya Comoro.
Mkumbushe na kichapo walichopata wenzake na Bob Denar kule Seychelles
 
Kwa TZ kila kona tuna train mgambo wakitia mguu wanakutana na moto!!
Maliza issue ya Al Shabab nchi iwe na amani!! Waombe UN mfanye moping nchi yote ya Somalia, nyanganya woote silaha mmalize kazi wacha masifa ya kijinga!!
 
Hapana bwana, hao jamaa maharamia wa somalia hata viatu tu hawana, ile siku kdf walitoka kituko cha century baada ya kwenda na tanks pale garisa as if wanaenda battlefield. [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Hawa jamaa viazi kweli, sasa zile tanks sijui ndio walikuwa wanataka waanze kurusha makombola! Halafu pamoja mbwembwe zote zile, vijamaa vilimaliza mission yao na vikasepa kiulaini😀
Sio siri, siku ile kdf walikuwa completely disorganized, completely unprofessional yani duh!
 
MK!...Umenichekesha duuh!,......😀😀😀😀😀!.....WAPASUA MATOFALI KWA VICHWA!....😀😀😛
Lazima ushangae maana ni mwanaume aliyefundishwa ukakamavu tu ndio hawezi kushangaa jambo kama hilo. ndiomana mlikimbilia kutoa vifaru siku ile pale gallisa baada ya kusikia tu milio ya Ak47, tena kwa vijana sijui 5 tu wasiozidi hata miaka 30, aisee wanaume wa kenya waoga kinoma😀
 
Lazima ushangae maana ni mwanaume aliyefundishwa ukakamavu tu ndio hawezi kushangaa jambo kama hilo. ndiomana mlikimbilia kutoa vifaru siku ile pale gallisa baada ya kusikia tu milio ya Ak47, tena kwa vijana sijui 5 tu wasiozidi hata miaka 30, aisee wanaume wa kenya waoga kinoma😀
JWTZ iende somali ikapambane na alshabab uone kama ndugu zako/jamaa zako watarudi salama, ndo utajua alshabab ni nani???
 
game over, kdf hupigana na wavaa chachacha halafu bado hupokea kichapo! So far KDF wamepoteza wanajeshi 1000 na ushee hivi. Mpaka imewabidi Wafanye siri idadi kamili! Leo wamesaini rasmi mkataba wa kusaidiwa armory vehicles na SA!
 
Back
Top Bottom