KDF and SNA kill 23 alshabaab militants in Somalia

Ona wenzako wenye akili wanaelewa kitakachotokea mbeleni
hahahaha watu wana uhuru wa kujieleza huku Kenya...thats what that is...maoni tu...ila ukweli upo...Kenya ndio inaongoza ukanda huu...hio ethiopia ni maskini hata heri Uganda....kisha wana population mara mbili ya Kenya...hakuna chochote hapo
 
Hivi Ethiopia uchumi wake mnaupima kwa kigezo kipi, maana katika vijana, wananchi wenye shida za umasikini wa kutupwa ni Ethiopia! Mnatumia kigezo gani?
its true....Ethiopia should not even be compared to Uganda....Uganda is richer than ethiopia...sina ubishi hapo...kitu walio nacho wahabeshi ni ni uchumi mkubwa in terms of GDP ila kiuhalisia hata afadhali Uganda...
 
its true....Ethiopia should not even be compared to Uganda....Uganda is richer than ethiopia...sina ubishi hapo...kitu walio nacho wahabeshi ni ni uchumi mkubwa in terms of GDP ila kiuhalisia hata afadhali Uganda...
...uchumi mkubwa kwa vipi? unazalisha nini?
 
hahahaha watu wana uhuru wa kujieleza huku Kenya...thats what that is...maoni tu...ila ukweli upo...Kenya ndio inaongoza ukanda huu...hio ethiopia ni maskini hata heri Uganda....kisha wana population mara mbili ya Kenya...hakuna chochote hapo
And now you're into this???[emoji23][emoji23]
 
And now you're into this???[emoji23][emoji23]
it will never see the light of day.....it will be dismissed...unajua kenya tuna uhuru mwingi...mtu anaweza hata leo kwenda ku propose mswada kuwa wanaume wawe wanavaa nguo za wanawake😀😀😀😀...but that dos not mean that it will be allowed...
 
killing innocent civilians is not a just cause brother....
That much I agree with you, I understand, but, if you try all peaceful option to raise your rights concern and the dictators keep a deaf ear, what do you resort to?
 
...uchumi mkubwa kwa vipi? unazalisha nini?
I am just speaking in terms of GDP..ila hata kama ni maskini wa kutupwa, Ethiopia itis more developed than tz...so ethiopia comes second after Kenya in East Africa
 
That much I agree with you, I understand, but, if you try all peaceful option to raise your rights concern and the dictators keep a deaf ear, what do you resort to?
sometimes we must sacrifice democracy for development...let us develop to first world status before we can fight for democracy...sababu ya mimi kusema hivi ni kuwa democracy haitawalisha watu wetu...uchumi ukikua ndio utaweza kutulisha...demiocracy wacha ije baadae wakati tumashafikia level ya akina Singapore, Malaysia etc
 
I am just speaking in terms of GDP..ila hata kama ni maskini wa kutupwa, Ethiopia itis more developed than tz...so ethiopia comes second after Kenya in East Africa
All in all., if GDP is not reflected in common man's daily life to support keeping body and soul intact, then it is useless! Wazungu wanatudanganya na hizo theories za uchumi wakati wao GDP zao zinakuwa reflected 100% in their people's daily lives!
 
No, not at all, better in poverty than riches in slavery! ndio maana tulipigana na wakoloni tukakataa mazuri yao maana hatukuwa na uhuru wetu!
 
..dah hata upromote vipi jeshi la kenya in reality ni lipo weak sana yaan ni jeshi lenye uwikness...... na siku zote halona winning results....

bado sana nyie kwani hata uchumi wenu asilimia kubwa unamilikiwa na investors wageni..... kiuhalisia ukija kwa wananchi wakenya no econy ni poor tu mnashida
 
hehe sawa chokoch
 
hehe sawa chokoch
huo ndiyo ukweli......... na mtakuja drop sana...... usibishe vitu vya kipuuzu kwa africa ya kati na mashariki pia kwa africa kiukweli kaa na uchunguze usilete ushabiki wa kitoto wa kiboya tanzania ina support kubwa sana... na huwa siku zote inatoa matokeo ya ushindi


mfano mdogo tumeikomboa komoro nyie mmeikomboa nchi gani... africa?
 
I am just speaking in terms of GDP..ila hata kama ni maskini wa kutupwa, Ethiopia itis more developed than tz...so ethiopia comes second after Kenya in East Africa
tufanye sawa sisi ni maskini wa kutupwa swali laja ...



je kati ya tanzania na kenya ni nchi ipi inaongoza kuwa.na maskini wa kutupwa...?..
 
 
Somalia. Comoros islands maskini hohe hahe kainchi kadogo with 500 Soldiers ndio unaita ukombozi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…