KDF waibamiza kambi ya Alshabaab na kuua 52

Soma tena nilichokiandika.
 
hatuwawezi kweli na wala hatu risk raia wetu kupigana na hao Shababs kazi kwenu vibaraka wa us mnaotumika kweny vita msivyoviweza let me tel u smthing ,naamini ushawahi kula mbuzi,kuku,ng'ombe nk....na wala hau
Pita kimya maana ya mashababi hamyawezi nyie ambao hutolewa kamasi na watoto wa Manzense wanaoitwa panya road.
 
hatuwawezi kweli na wala hatu risk raia wetu kupigana na hao Shababs kazi kwenu vibaraka wa us mnaotumika kweny vita msivyoviweza
let me tel u smthing ,naamini ushawahi kula mbuzi,kuku,ng'ombe nk....na wala hau

Hakuna anayetaka vita, ila tusipowakingia kifua nyie mtaisha maana kwenu kwanza asilimia kubwa ni hawa watu wa hii dini ambayo magaidi husema ni yao.
Mashababi yakiteka Somalia yote basi wanaanzisha kitu kinaitwa East Africa Caliphate, soma sehemu utaelewa na ndio maana wapiganaji wao wengi wametokea kwenye nchi zetu wanapata mafunzo na kurudi kimya. Akupe taarifa mtu inasadikiwa kuna vijana Watanzania na Wakenya wengi tu ambao wamepata mafunzo na wamerudi kimya wanasubiri maagizo.
Hivyo sisi tunapambana nao kwenye mzizi kule kabla hawajawa kero ukanda wote huu. Angalia jinsi ISIS wameteka nchi nyingi kule Uarabuni ndio utanielewa, nchi walizoteka zina nguvu mara mia zaidi ya Tanzania.
 
Toka hapa.mmelikoroga wenyewe mtalinywa wenyewe.mtanzania hana bifu na al shabab.mlijipeleka wenyewe somalia.wale watalii wa kifaransa walivyotekwa.na kuuawa mmoja.mkaona mtawaweza.mlichezeaaa.
 
Toka hapa.mmelikoroga wenyewe mtalinywa wenyewe.mtanzania hana bifu na al shabab.mlijipeleka wenyewe somalia.wale watalii wa kifaransa walivyotekwa.na kuuawa mmoja.mkaona mtawaweza.mlichezeaaa.

Hatupo pale kwa ajili ya watalii tu, fahamu sio Kenya pekee yake wapo Somalia, kuna sababu kwanini ukanda wote huu umepeleka wanajeshi wao kasoro waoga nyie.
Anyway hutanielewa maana unaandika kimahaba zaidi.
 
Hatupo pale kwa ajili ya watalii tu, fahamu sio Kenya pekee yake wapo Somalia, kuna sababu kwanini ukanda wote huu umepeleka wanajeshi wao kasoro waoga nyie.
Anyway hutanielewa maana unaandika kimahaba zaidi.
Hatuna muda na vita.majanga yetu yanatosha.ni vita kamili.
 
Tanzania ipo kwa ajili ya ukombozi,hayo mataifa yaliyopeleka majeshi huko yakizidiwa bac Tz itamaliza hiyo kazi..
 
Brother,the best thing to be done is to kill their ideology and not the followers, they might be wiped out by thousands but new ones will emerge as long as the ideology that creates them exist.
 
Tanzania should be greatful for what amisom forces are doing in somalia, being with the most muslim population hao extremist wakiingia kwenyu unajua watawafanya kama boko haram so shukuru kenya amisom wanafanya wacheni chuki, remember kismayo was heavily guarded by al shabaab because its a port they did their business but venye kenya waliskia wanakuja they fled very fast,
 
Remember kuna kenyans wenye wamechoose kuinfiltrate al shabaab to give info on their operations, kama huamini angalia how many kenyans al shabaab has executed, we are not cowards
 
Toka hapa.mmelikoroga wenyewe mtalinywa wenyewe.mtanzania hana bifu na al shabab.mlijipeleka wenyewe somalia.wale watalii wa kifaransa walivyotekwa.na kuuawa mmoja.mkaona mtawaweza.mlichezeaaa.
Who killed your police officers jus the other day?
 
Brother,the best thing to be done is to kill their ideology and not the followers, they might be wiped out by thousands but new ones will emerge as long as the ideology that creates them exist.
Its already past killing their ideologies, what needs to be done is to try and give power to somalis themselves to fight these devil worshippers,
 
Af midia za kenya znatangazaga tu waliouwa

Wanajesh wao kuuwawa wanaliweka kapuni hlo
 

Dont expect some of this photos to be posted online as its against rules of the military
 
Mimi hawa KDF walipoendaga na Tanks pale garisa nliconclude uwezo mdogo Wa Jeshi ya Kenya.
Wazee Wa Biashara ya mkaa na wizi wa biscuti westigeti
Ebu enlighten us venye wangeingia kwa shule from outside while evading the sniper that was ontop of the building? Explain how this terrorist all got headshots in their head
 
Hatuna muda na vita.majanga yetu yanatosha.ni vita kamili.

Soma historia ya dunia hakafu uje upya, hii dunia haijawa tulivu hata siku moja, watu wameuana kwa mabilioni tangu uumbwaji wa hii dunia, na wanaendelea kuuwana. Hata ukikaa pembeni kwa uwoga, utakutwa tu mlangoni kwa njia moja au nyingine. Hii dunia tunaelekea pabaya haya majizi yasipozuiwa mapema, sisi na mataifa yote ya ukanda huu yamechukua hatua ya kuzuia.

Nyie muendelee hapo huku mkikunja mikia katikati ya miguu yenu, ilhali vijana wenu wanajiunga na kupata itikadi kali za kidini na wanatoka kule baada ya kupata mafunzo ya kivita. Kumbuka yule Mpare alikamatwa pale Garissa baada ya yeye kuhusika katika kuwaua wanafunzi.
 
Mimi hawa KDF walipoendaga na Tanks pale garisa nliconclude uwezo mdogo Wa Jeshi ya Kenya.
Wazee Wa Biashara ya mkaa na wizi wa biscuti westigeti

Sikiliza kibwego, wacha kukata mauno mwanaume ujifunze mikakati ya kupigana, pale Garissa kuna Alshabab ambao walikua wamejificha kwenye paa na machine gun wakikimimina risasi kwenye lango kuu, na uani hapakua na jinsi ya kuingia, hivyo ilibidi kifaru kitumike kama ngao dhidi ya risasi za hao jamaa huku special forces wakifuata nyuma kwa nyuma.

Walipiga kifaru risasi zao hizo lakini hazikua na effect yoyote, kikasogea sogea huku wanaume wanakifuata nyuma hadi pale kilifika ndani ndio makomando wakapata fursa ya kuingia kwenye mchezo.

Hapakua na jinsi nyingine maana jengo lenyewe lilikua pekee kiasi kwamba hapakua na majengo ya karibu ili snipers wayatumie. Hata hao wapasua matofali wenu sidhani kama wangeingia mzima mzima wakati wanamiminiwa risasi za machine gun.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…