Soma tena nilichokiandika.Halafu wakishaondolewa unataka magaidi wakaiimarishe himaya yao ISIS Afrika Mashariki, ninyi fungeni vibakuli vyenu hivo,hamna msaada wowote kwa AM...msaada wenu huwa mnawapelekea wazulu wenzenu, ipo siku litawakumba huku AM yetu iakua macho.
Hao wazulu wenu wameshaimaliza na kuidhoofisha nchi tangu walipoitwaa toka kwa kaburu...tayari uchumi wao umepewa alama ya c, sijui JUNK STATUS, hawatowasaidieni kamwe.
Soma tena nilichokiandika.
let me tel u smthing ,naamini ushawahi kula mbuzi,kuku,ng'ombe nk....na wala hauKuna maswali mengi kuhusu Mungu huwa najiuliza, mpaka SAA nyingine huwa namkasirikia Mungu (maybe nakufuru lakini acha iwe hivyo).Bcoz kwa ninavomuwazia Mungu ingekuwa ni heri nisingezaliwa.
1) Kama kweli Mungu ni upendo, kwanini aumbe Jehanamu ya kutuchoma milele sisi tulio waovu (lyk for billions and trillions of years). Si heri angetumaliza tu kuliko kututesa milele? Kwenye shuhuda nyingine wakristo huenda motoni kwa dhambi moja tu ambayo hawakutubu. (I know hell was originally intended for the devil and his demons & not 4 humans)
2) Kwanini alimruhusu shetani kumjaribu Adam ikiwa alijua kuwa wanadamu wengi tutateseka duniani, tutaanguka maovuni, na atatutupa Jehanamu?
3) Kama Mungu anatuambia tukitenda dhambi na tusipomtii tutachomwa motoni, Je wakristo na waislamu (baadhi yetu) tutakuwa tunamtumikia Mungu kwasababu tunampenda na tunataka kumjua zaidi? Au tutakuwa tunamtumikia kwasababu tunaogopa kwenda Jehanamu?
4) Mungu husema mawazo yake si kama ya kwetu, na njia zake zipo juu zaidi, nakubaliana na hilo. Maybe kutuchoma motoni it's in his nature, that's the way he is and we have to live with it.
5)All in all Mungu ana hekima kuliko mimi, coz ni muumba wa kila kitu. Maybe katika hekima yake yote, hii ndo decision bora aliokuja nayo. Labda ana reason nzuri behind all this ambayo mm siijui. Maybe Mungu mwenyewe akinijibu face 2 face, nitabadili mtazamo wangu kuhusu yeye.
6) Kingine kinachonikasirisha pia ni yeye kuruhusu mimi kuja hapa duniani, naona ni heri nguvu aliotumia kuniumba mimi angetumia kufanya kitu kingine, nachukia + najuta kuwa hapa duniani to see all this, dunia imejaa waovu (mimi nikiwa mmoja wapo) pamoja na mateso ya kila namna.
Haya ndo mawazo yangu nimeamua ku-share nanyi, najua hata povu linitoke vipi it won't change the facts. Samahani kwa nitakaekuwa nimewakwaza humu jukwaani, naamini Mungu alishayajua mawazo yangu kuhusu yeye toka kitambo.
So im just keeping it real.
Pita kimya maana ya mashababi hamyawezi nyie ambao hutolewa kamasi na watoto wa Manzense wanaoitwa panya road.
hatuwawezi kweli na wala hatu risk raia wetu kupigana na hao Shababs kazi kwenu vibaraka wa us mnaotumika kweny vita msivyoviweza
let me tel u smthing ,naamini ushawahi kula mbuzi,kuku,ng'ombe nk....na wala hau
Toka hapa.mmelikoroga wenyewe mtalinywa wenyewe.mtanzania hana bifu na al shabab.mlijipeleka wenyewe somalia.wale watalii wa kifaransa walivyotekwa.na kuuawa mmoja.mkaona mtawaweza.mlichezeaaa.Hakuna anayetaka vita, ila tusipowakingia kifua nyie mtaisha maana kwenu kwanza asilimia kubwa ni hawa watu wa hii dini ambayo magaidi husema ni yao.
Mashababi yakiteka Somalia yote basi wanaanzisha kitu kinaitwa East Africa Caliphate, soma sehemu utaelewa na ndio maana wapiganaji wao wengi wametokea kwenye nchi zetu wanapata mafunzo na kurudi kimya. Akupe taarifa mtu inasadikiwa kuna vijana Watanzania na Wakenya wengi tu ambao wamepata mafunzo na wamerudi kimya wanasubiri maagizo.
Hivyo sisi tunapambana nao kwenye mzizi kule kabla hawajawa kero ukanda wote huu. Angalia jinsi ISIS wameteka nchi nyingi kule Uarabuni ndio utanielewa, nchi walizoteka zina nguvu mara mia zaidi ya Tanzania.
Toka hapa.mmelikoroga wenyewe mtalinywa wenyewe.mtanzania hana bifu na al shabab.mlijipeleka wenyewe somalia.wale watalii wa kifaransa walivyotekwa.na kuuawa mmoja.mkaona mtawaweza.mlichezeaaa.
Hatuna muda na vita.majanga yetu yanatosha.ni vita kamili.Hatupo pale kwa ajili ya watalii tu, fahamu sio Kenya pekee yake wapo Somalia, kuna sababu kwanini ukanda wote huu umepeleka wanajeshi wao kasoro waoga nyie.
Anyway hutanielewa maana unaandika kimahaba zaidi.
Kazi ya waoga ni kukaa nyuma na kuleta wivuMbona Tanzania ndio nchi pekee east africa hawana majeshi somalia?
Brother,the best thing to be done is to kill their ideology and not the followers, they might be wiped out by thousands but new ones will emerge as long as the ideology that creates them exist.good work being done in Somalia...soon, the militants will be a thing of the past...shout out to AMISOM and the new Somali admin for their efforts together with all our brave brothers and sisters... no innocent civilian should die in the name of violent extremism...
Who killed your police officers jus the other day?Toka hapa.mmelikoroga wenyewe mtalinywa wenyewe.mtanzania hana bifu na al shabab.mlijipeleka wenyewe somalia.wale watalii wa kifaransa walivyotekwa.na kuuawa mmoja.mkaona mtawaweza.mlichezeaaa.
Its already past killing their ideologies, what needs to be done is to try and give power to somalis themselves to fight these devil worshippers,Brother,the best thing to be done is to kill their ideology and not the followers, they might be wiped out by thousands but new ones will emerge as long as the ideology that creates them exist.
Mimi siwajui.niambie wewe unayewajuaWho killed your police officers jus the other day?
Ebu enlighten us venye wangeingia kwa shule from outside while evading the sniper that was ontop of the building? Explain how this terrorist all got headshots in their headMimi hawa KDF walipoendaga na Tanks pale garisa nliconclude uwezo mdogo Wa Jeshi ya Kenya.
Wazee Wa Biashara ya mkaa na wizi wa biscuti westigeti
Hatuna muda na vita.majanga yetu yanatosha.ni vita kamili.
Mimi hawa KDF walipoendaga na Tanks pale garisa nliconclude uwezo mdogo Wa Jeshi ya Kenya.
Wazee Wa Biashara ya mkaa na wizi wa biscuti westigeti