joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
MY TAKE; Ikumbukwe kwamba hata huko DRC ambako KDF walikwenda kupambana na M23, hakuna lolote wameweza kufanya na wakaazi wa maeneo hayo wametaka KDF waondoke kwasababu hawana msaada wowote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama bajeti yake ndo Ile! Basi naona wazi kumekucha Sasa
MY TAKE; Ikumbukwe kwamba hata huko DRC ambako KDF walikwenda kupambana na M23, hakuna lolote wameweza kufanya na wakaazi wa maeneo hayo wametaka KDF waondoke kwasababu hawana msaada wowote.
Kénya ni nchi ya hovyo Sana mkuu, yaani neno "planning" kwao halipo, Kila kitu wanakurupuka, hawajiandai Wala kuweka mipango, kwao ni kutafuta sifa na umaarufu tu, Kila wanalofanya wanashindwa, ukiona mradi umekamilika Kenya, ujue watekelezaji ni wageni.Hivi inakuwaje jeshi la serikali linashindwa jambo kama hili? Ni udhaifu na aibu sana! MK254
Kabisa aysee! Hili la kushindwa na majangili ni mfano tosha!Kénya ni nchi ya hovyo Sana mkuu, yaani neno "planning" kwao halipo, Kila kitu wanakurupuka, hawajiandai Wala kuweka mipango, kwao ni kutafuta sifa na umaarufu tu, Kila wanalofanya wanashindwa, ukiona mradi umekamilika Kenya, ujue watekelezaji ni wageni.
Sasa Tanzania ina lipi la maana la kujivunia mbele ya wakenya ?Kénya ni nchi ya hovyo Sana mkuu, yaani neno "planning" kwao halipo, Kila kitu wanakurupuka, hawajiandai Wala kuweka mipango, kwao ni kutafuta sifa na umaarufu tu, Kila wanalofanya wanashindwa, ukiona mradi umekamilika Kenya, ujue watekelezaji ni wageni.
Hivi wewe si ndo lile shoga la Kenya lilikokuwa linajitangaza mitandaoni?Sasa Tanzania ina lipi la maana la kujivunia mbele ya wakenya ?
Kitu pekee tulichowazidi wakenya ni
1. Uoga
2. Uzembe
3. Ukubwa wa ardhi
4. Utaoaji wa elimu mbovu.
5. Kuzubaa zubaa.
6. Kukalia fursa za kiuchumi.
7. Mengineyo
Kaka watu Kama hao huna sababu ya kumjibu, ukisoma tu post ya mtu 65% unaweza kujua uwezo wake wa akili, usijishushe kwa kujibizana nao.Hivi wewe si ndo lile shoga la Kenya lilikokuwa linajitangaza mitandaoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kafirwe hukoHivi wewe si ndo lile shoga la Kenya lilikokuwa linajitangaza mitandaoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
BootlickerKaka watu Kama hao huna sababu ya kumjibu, ukisoma tu post ya mtu 65% unaweza kujua uwezo wake wa akili, usijishushe kwa kujibizana nao.
Hivi kwan jwt bado hawajaenda kuungana na kdf huko congo kam wana eac?
MY TAKE; Ikumbukwe kwamba hata huko DRC ambako KDF walikwenda kupambana na M23, hakuna lolote wameweza kufanya na wakaazi wa maeneo hayo wametaka KDF waondoke kwasababu hawana msaada wowote.
Tanzania hatuna makubaliano ya kiulinzi na EAC, tunamakubaliano na SADC, nchi haiwezi kuwa na ushirikiano wa kiulinzi na jumuia mbili tofautiHivi kwan jwt bado hawajaenda kuungana na kdf huko congo kam wana eac?
Ok.Tanzania hatuna makunaliano ya kiulinzi na EAC, tunamakubaliano na SADC, nchi haiwezi kuwa na ushorikiano wa kiulinzi na jumuia mbili tofauti
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app