KDF washindwa kukabiliana na majangili huko Turkana, wakazi walalamika

KDF washindwa kukabiliana na majangili huko Turkana, wakazi walalamika





MY TAKE; Ikumbukwe kwamba hata huko DRC ambako KDF walikwenda kupambana na M23, hakuna lolote wameweza kufanya na wakaazi wa maeneo hayo wametaka KDF waondoke kwasababu hawana msaada wowote.

kwa DRC hata wewe ukipelekwa utasahau kilichokupeleka utaanza kuzoa almasi na dhahabu tu
 
kwa DRC hata wewe ukipelekwa utasahau kilichokupeleka utaanza kuzoa almasi na dhahabu tu
Tanzania, South Afrika na Malawi walifanya kazi nzuri Sana, tatizo ni uwezo wa KDF ni mdogo sana.
 
Hivi inakuwaje jeshi la serikali linashindwa jambo kama hili? Ni udhaifu na aibu sana! MK254
Suala la turkana,baringo,elgeyo marakwet na west pokot lisikieni tuuu. Hayo maeneo ni hatari sana na geographia yake imekaa kimtego sana. So yeyote anaweza uawa muda wowote.
 
Suala la turkana,baringo,elgeyo marakwet na west pokot lisikieni tuuu. Hayo maeneo ni hatari sana na geographia yake imekaa kimtego sana. So yeyote anaweza uawa muda wowote.
Mkuu, hii lugha unayotumia ni lugha hatari sana, mara nyingi hutumiwa na wakenya kuhalalisha madhahifu Yao

Rais Rutto aliwahakikishia wakenya kwamba atawamaliza hao bandits huko ulikotaja, Ina maana hakua akijua hivyo unavyosema?.

Kenya walipoingia Somalia kwenda kukabiliana na Alshabaab, walituaminisha kwamba KDF wanao uwezo wa kwenda kuzuia Alshabab wasisumbue tena Kenya, baadae lugha ikabadilika kwamba sio rais kupambana na Alshabaab kwasababu wao hujichanganya na raia, mara wakasema "gorrila war ni ngumu sio Kama vita ya kawaida.

Walipokwenda kupambana na M23 huko DRC, walikwenda kwa mbwembwe nyingi na kutanua kifua, hivi Sasa hakuna wanalofanya na M23 wanazidi kusonga mbele, tunasubiri waje na sababu nyingine kwasababu wakenya kamwe hawawezi kukubali udhahifu wao.

Kenya kwa ufupi ni nchi ya hovyo na dhahifu Sana, tatizo wanapiga kelele nyingi Sana za kujisifia, watu huwa wanaamini kelele zao, ila ni nchi dhahifu Sana.
 
Ruto na tambo zote zile za kudhani jeshi likiingia tatizo litaisha...yaani wananchi Wana skills zaidi kupambana na bandit kuliko jeshi. Watamkumbuka Kenyatta
 
Kénya ni nchi ya hovyo Sana mkuu, yaani neno "planning" kwao halipo, Kila kitu wanakurupuka, hawajiandai Wala kuweka mipango, kwao ni kutafuta sifa na umaarufu tu, Kila wanalofanya wanashindwa, ukiona mradi umekamilika Kenya, ujue watekelezaji ni wageni.
Na wizi wa kura...
 
Sasa Tanzania ina lipi la maana la kujivunia mbele ya wakenya ?
Kitu pekee tulichowazidi wakenya ni
1. Uoga
2. Uzembe
3. Ukubwa wa ardhi
4. Utaoaji wa elimu mbovu.
5. Kuzubaa zubaa.
6. Kukalia fursa za kiuchumi.
7. Mengineyo
8. Raisi kuchaguliwa na wa-Venezuela.
 
Back
Top Bottom