Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
Myujumi Juma; Heshima Mbele Dada/Kaka.
Ahsante sana kwa kunipa nafasi ya kufafanua madai yangu.
Comment imesema: Naomba tuachie wanaohusika kuishughulikia kesi hii, ili haki ya kweli ipatikane kwa wote kadri inavyowezekana.
Mimi nikaitafsiri kama: tuwaachie, tuwaamini, wahusika waendeshe kesi, waendeshe Serikali, watuongozee nchi, tuwaangalie kama watazamaji wa mpira ambao hata timu yao ikivurunda vipi, hawaruhusuiwa kuvamia uwanja kwa sababu wapo wahusika, wachezji.
Nikajibu: Nooooooooh! That is treason! Abdication of your public duty to watch the government is as bad as espionage! Do not pick sides here, pick the country. Look at the mockery of justice that happened here!
Nikimaanisha: Ni wajibu wetu kuichunga Serikali. Hatuna nguvu walizo kuwa nazo wale wanao endesha nchi, kwa hiyo, dogo kuliko yote tunalo weza kufanya ni kujadili, kushauri, kulia, na kuongea kwa kura zetu. Kutokufanya hivyo, kuangalia nyumba yetu inateketea na wahusika wamelala, na tusifanye lolote ni kuisaliti nchi yetu. Ni sawa na mhujumu anaye uza siri za nchi.
Ahsante sana kwa kunipa nafasi ya kufafanua madai yangu.
Comment imesema: Naomba tuachie wanaohusika kuishughulikia kesi hii, ili haki ya kweli ipatikane kwa wote kadri inavyowezekana.
Mimi nikaitafsiri kama: tuwaachie, tuwaamini, wahusika waendeshe kesi, waendeshe Serikali, watuongozee nchi, tuwaangalie kama watazamaji wa mpira ambao hata timu yao ikivurunda vipi, hawaruhusuiwa kuvamia uwanja kwa sababu wapo wahusika, wachezji.
Nikajibu: Nooooooooh! That is treason! Abdication of your public duty to watch the government is as bad as espionage! Do not pick sides here, pick the country. Look at the mockery of justice that happened here!
Nikimaanisha: Ni wajibu wetu kuichunga Serikali. Hatuna nguvu walizo kuwa nazo wale wanao endesha nchi, kwa hiyo, dogo kuliko yote tunalo weza kufanya ni kujadili, kushauri, kulia, na kuongea kwa kura zetu. Kutokufanya hivyo, kuangalia nyumba yetu inateketea na wahusika wamelala, na tusifanye lolote ni kuisaliti nchi yetu. Ni sawa na mhujumu anaye uza siri za nchi.