Jamaa hajui hata kunanga watani?Kawaida sana.
ila hakijaunguaHata boss Wenu kemcho ana kiwanda Cha mo28
TulishayaonaKwani lazima tuwe kama Al ahly mkuu, kila nchi na utamaduni wake.
Huu utamaduni umetusadia nini?Kwani lazima tuwe kama Al ahly mkuu, kila nchi na utamaduni wake.
Maisha yankwenda kasi sana yaani leo ndo ivoo .......Hameid Ally anaruka na ndege huku Manara analinda ng'ombe wa Mayele aiseeclub inafuga ng'ombe wewe ulishawahi kuona wapi???
aisee inauma ila itabidi tuzoeeAnaandika Msema Ahmedy Ally.
Muda huu wachezaji wetu wapo kambini Mbweni wanakula upepo wa Nchi [emoji1]
Wengine wapo vyumban wanacheza Play Station saafi[emoji106]
Tshabalala kawasha Bluetooth anasikiliza ngoma za mwanae Meja Kunta Twende kidimbwi tuka Enjoy
[emoji1][emoji1] Kapombe kutulia zake anaangalia Movie kwenye simu yake
Wengine wapo busy wanapanga panga nguo za safari huku wanafurahi
Morrison( Kuku wa Makange) anapita kila chumba kuchokoza watu waliopumzika
[emoji1][emoji1][emoji1] Basi Ilimradii rahaaa tuu tukijiandaa na safari saa chache zijazo
Timu zote Africa weekend hii zinasafiri kwenda nchi mbalimbali au zinacheza nyumbani na timu kutoka mataifa mengine
Kama unacheza na vijana kutoka Kinondoni [emoji1][emoji1] wewe ni timu ya kawaida tu kama timu ya Kiwandani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole msumari umekugusa kingo ya utumbo mpanaHakuna msemaji hapo labda Mchambaji. Hizi timu zenu ziaajiri wachambaji halafu mnawaita Wasemaji? Huyu na Manara wote Wachambaji tu. Hapo amesema nini zaidi ya kuchamba? Msemaji wa timu anaongelea wachezaji kukata viuno?
kinacho wa changanya hawa jamaa ni points kuto kushuka,zikifika 8 wanarudishwa 11,lazima utingwe.Tunajua Kama Mtafungwa Huko Na Mkirudi Huku Mtakuta Gape La Point 11 [emoji23]