Kejeli za Msemaji Wa Simba SC dhidi ya Watani wao Yanga

Kejeli za Msemaji Wa Simba SC dhidi ya Watani wao Yanga

KIWANDANI FC
MIFUGO FC
WAFUGAJI FC
MALALAMIKO FC
UTOPOLO FC
VYURA FC
MAZIWA FC is Loading
 
Yaani Kasema Kabisa na Mmemsikia kwa Masikio Yenu
'Timu Zote Weekend hii Zinasafiri'

...Halafu Akaongeza ' Timu Yako kama Inacheza Na Kino Boys' basi timu yako ni Ya Kawaida Saaaaaaaaana.!

Huyu Kijana Ahmed Ally Sasa Kavuka 'Mipaka'... !
Na mimi nimejiongeza nasemaaaa hiviii...MARUFUKU Hiyo 'Minyau' ...Kuivuka..! Haiwezekani ' Mipaka' tunayolinda Halafu Mtu mmoja aje Aivuke hivi hivi tunaona..!
 
Tena kiwanda kilicho pata janga la kuungua moto
 
mpira wa tanzania na mashabiki wake ni upuuzi mtupu..
 
Anaandika Msema Ahmedy Ally.

Muda huu wachezaji wetu wapo kambini Mbweni wanakula upepo wa Nchi [emoji1]

Wengine wapo vyumban wanacheza Play Station saafi[emoji106]

Tshabalala kawasha Bluetooth anasikiliza ngoma za mwanae Meja Kunta Twende kidimbwi tuka Enjoy

[emoji1][emoji1] Kapombe kutulia zake anaangalia Movie kwenye simu yake

Wengine wapo busy wanapanga panga nguo za safari huku wanafurahi

Morrison( Kuku wa Makange) anapita kila chumba kuchokoza watu waliopumzika

[emoji1][emoji1][emoji1] Basi Ilimradii rahaaa tuu tukijiandaa na safari saa chache zijazo

Timu zote Africa weekend hii zinasafiri kwenda nchi mbalimbali au zinacheza nyumbani na timu kutoka mataifa mengine

Kama unacheza na vijana kutoka Kinondoni [emoji1][emoji1] wewe ni timu ya kawaida tu kama timu ya Kiwandani.

Sent using Jamii Forums mobile app
aisee inauma ila itabidi tuzoee
 
Hakuna msemaji hapo labda Mchambaji. Hizi timu zenu ziaajiri wachambaji halafu mnawaita Wasemaji? Huyu na Manara wote Wachambaji tu. Hapo amesema nini zaidi ya kuchamba? Msemaji wa timu anaongelea wachezaji kukata viuno?
Pole msumari umekugusa kingo ya utumbo mpana
 
Back
Top Bottom