gstar
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 790
- 1,373
KEKI ISIYOOZA.
Chukua kiasi kikubwa cha "UCHANGAMFU".
Angalia kisiwe kikubwa sana. Changanya na
bakuli lililojaa "UKARIMU". Ongeza bakuli la
"WEMA" Changanya na kijiko cha "HURUMA"
Koroga vyote kwa pamoja na baadae chuja ili
kuondoa taka za "UBINAFSI" Weka kiungo
kiitwacho "UPENDO" Oka kwenye jiko lenye joto
la "SALA" Pakua ingali moto, na iweke kwenye
chombo cha matundu ili kuwezesha mvuke
kupenya na kusambaza harufu ya "UPENDO".
Chukua kiasi kikubwa cha "UCHANGAMFU".
Angalia kisiwe kikubwa sana. Changanya na
bakuli lililojaa "UKARIMU". Ongeza bakuli la
"WEMA" Changanya na kijiko cha "HURUMA"
Koroga vyote kwa pamoja na baadae chuja ili
kuondoa taka za "UBINAFSI" Weka kiungo
kiitwacho "UPENDO" Oka kwenye jiko lenye joto
la "SALA" Pakua ingali moto, na iweke kwenye
chombo cha matundu ili kuwezesha mvuke
kupenya na kusambaza harufu ya "UPENDO".