mavado
JF-Expert Member
- Jun 25, 2014
- 1,153
- 798
Salaam waungwana, aisee nataka kufungua bekari spesheli ya kuoka na kutengeneza keki na biskuti za huu mmea wa kijani unaopendwa sana kule Jamaica na ambao umeruhusiwa kule kwa Obama katika baadhi ya majimbo, haka kaujuzi nimekapata kwa majirani zetu hapo ukivuka namanga. So nahitaji patner katika hili.
Michango na mawazo yenu ni ya muhimu sana.
Michango na mawazo yenu ni ya muhimu sana.