Kelele na hofu kubwa ya COVID-19 ni filamu ya Mission Impossible 2 (2000) kwa vitendo?

Kelele na hofu kubwa ya COVID-19 ni filamu ya Mission Impossible 2 (2000) kwa vitendo?

Titicomb

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
12,823
Reaction score
21,210
Are the Pharmaceutical industries running the show?
Hii kelele na hofu kubwa ya COVID-19 ni kama filamu la Mission Impossible 2 (2000) kwa vitendo?.
Mataifa yote duniani tuna chezeshwa mchezo kama wa kampuni ya kusadikika iitwayo Biocyte Pharmaceuticals wa kutengeneza Chimera Virus na tiba yake Bellerophon?

Hadithi katika filamu ya mwamba Tom Cruise aliye igiza kama jasusi toka katika kitengo cha Impossible Mission Force (IMF) ndani ya CIA aitwae Ethan Hunt, filamu inaelezea jinsi mtengeneza madawa anavyo fanya utafiti (research) na kutengeneza kirusi cha mafua hatari kinacho uwa binadamu na huyo huyo anatengeneza tiba yake, kisha anasambaza kirusi mtaani.

Nasema hivi mtakuja tu kununua dawa aliyogundua mtengeneza tatizo bila kupenda. Nchi gani itapenda kuendelea kufungia watu wake ndani miaka kadhaa? Au nchi gani itapenda kuona raia wake wakifa maelfu kwa maelfu?
Kama hamtaki kucheza ngoma ya mtengeneza tatizo jamaa anajisemea rohoni "tunatengeneza hofu kubwa sana mitaani kisha mtakuja tu kumtafuta mtengenezaji dawa haraka".

Naona kama hii COVID-19 na sakata zima la kumdhibiti huyu kirusi linachukua sura ya Chimera virus na dawa ya Bellerophon, sijui wewe msomaji una maoni gani na mfanano huu. Je, hii imetokea tu? Is it just a coincidence?
Tuwe macho na vita vya kiuchumi kati ya nchi zenye nguvu za kiuchumi, sijui na sisi lini wasomi wetu watafanikiwa kutengeneza dude kama hili na sisi tutokee hapohapo kiuchumi kwa kuuza dawa zake.

Tunatengeneza LAB moja matata pale Ifakara inakuwa WUHAN yetu ndogo...hahaaa ..., nilikuwa natania jamani.
 
NAPENDA MOVIE SANA ILA HIZI MOVIE ZA MISSION IMPOSSIBLE ZIJAWAHI KUZIPENDA
 
Hivi hakuna wale wachawi wakuogopwa sana, wajitokeze waroge hii virus ipararaizi?
mshana
Na wengine wanaojua uchawi njooni

TAFUTA MTU YOYOTE UMLAUMU...!
 
Are the Pharmaceutical industries running the show?
Hii kelele na hofu kubwa ya COVID-19 ni kama filamu la Mission Impossible 2 (2000) kwa vitendo?.
Mataifa yote duniani tuna chezeshwa mchezo kama wa kampuni ya kusadikika iitwayo Biocyte Pharmaceuticals wa kutengeneza Chimera Virus na tiba yake Bellerophon?

Hadithi katika filamu ya mwamba Tom Cruise aliye igiza kama jasusi toka katika kitengo cha Impossible Mission Force (IMF) ndani ya CIA aitwae Ethan Hunt, filamu inaelezea jinsi mtengeneza madawa anavyo fanya utafiti (research) na kutengeneza kirusi cha mafua hatari kinacho uwa binadamu na huyo huyo anatengeneza tiba yake, kisha anasambaza kirusi mtaani.

Nasema hivi mtakuja tu kununua dawa aliyogundua mtengeneza tatizo bila kupenda. Nchi gani itapenda kuendelea kufungia watu wake ndani miaka kadhaa? Au nchi gani itapenda kuona raia wake wakifa maelfu kwa maelfu?
Kama hamtaki kucheza ngoma ya mtengeneza tatizo jamaa anajisemea rohoni "tunatengeneza hofu kubwa sana mitaani kisha mtakuja tu kumtafuta mtengenezaji dawa haraka".

Naona kama hii COVID-19 na sakata zima la kumdhibiti huyu kirusi linachukua sura ya Chimera virus na dawa ya Bellerophon, sijui wewe msomaji una maoni gani na mfanano huu. Je, hii imetokea tu? Is it just a coincidence?
Tuwe macho na vita vya kiuchumi kati ya nchi zenye nguvu za kiuchumi, sijui na sisi lini wasomi wetu watafanikiwa kutengeneza dude kama hili na sisi tutokee hapohapo kiuchumi kwa kuuza dawa zake.

Tunatengeneza LAB moja matata pale Ifakara inakuwa WUHAN yetu ndogo...hahaaa ..., nilikuwa natania jamani.
Dogo muvi zinakudanganya sana!!

Hebu endelea kulinda hilo lindo lako!! ..mbav sana!!
 
Dogo muvi zinakudanganya sana!!

Hebu endelea kulinda hilo lindo lako!! ..mbav sana!!
Umemaliza kutukana?
Umeridhika?
Kama bado endelea kunitukana matusi tena awamu hii yawe matusi mazito mazito ili nafsi yako ipate faraja.

Karibu kuchangia tena kwenye thread zangu zingine.
 
Mi na fananisha na Move moja ya kimarekani inaitwa the Last ship season ya kwanza

Jins jamaa anavyo tengeneza kirusi kama hiki cha Covid 19.

Afu anatengeneza na kinga anajipandikiza yeye na anajiwekea kinga

Alafu sasa anaanza kutembea mitaani kuwaambukiza wenzie.

Malizienii...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom