Kelele nyingi za maridhiano uchwara yasiyo na mantiki Mnakubalika kwa Rais Samia kwa ajili ya manufaa yake, lakini kwa wananchi wa kawaida hamkubaliki

Kelele nyingi za maridhiano uchwara yasiyo na mantiki Mnakubalika kwa Rais Samia kwa ajili ya manufaa yake, lakini kwa wananchi wa kawaida hamkubaliki

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Eti maridhiano. Kuna maridhiano hapo au ile ziara ya rais Samia kule USA ndio imezaaa maridhiano uchwara ili kuwaridhisha mabeberu kuwa kuna demokrasia nchini. Demokrasia uchwara wakati wananchi wa kawaida wanaumia. Tozo, ufisadi na ughali wa maisha.

Nani mwananchi wa kawaida anahitaji Chama kama Chadema? Njooni uraiani muone. Hizi maridhiano njaa haziwabebi hata kidogo zaidi ya manufaa kwa Mbowe na rais Samia tu.

Soma, Pia: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini
 
Kwa hali ya kisiasa inayoendelea hivi sasa hapa nchini, kibaraka wa Sukuma Gang ni lazima ikuume tu. Matendo yenu ya kidhalimu na kifedhuli hayana nafasi tena nchini. Hakuna kesi za uchochezi tena, vyama vipo huru kuendesha shughuli za kisiasa, hakuna tena shughuli za wasiojulikana, hakuna tena maiti za kwenye viroba, n.k.

Tubu dhambi zako, ama la, mauti na kuzimu zipo pamoja na wewe na zitakuandama daima. Una Bunge la kama chama kimoja, unailalamikia nini CDM? Nini wajibu wa wabunge hao katika kuishauiri na kuisimamia serikali ili kuthibiti ugumu wa maisha? Wakati wa uchafuzi wa 2019 na 2020 si ulikuwa ukikenua meno na kushangilia ushindi "fake" wa kimbunga kwa chama tawala?
 
Kwani hayo maridhiano yatakufanya upate haueni kwa maisha magumu? Je chedema kinahusika vipi na maisha yako magumu huko mtaani,?!
Kama ulidharau sanduku la kura hii ndo adhabu yako
Ishi uwezavyo na maisha yako magumu mpaka kipindi cha uchaguzi
 
tunafahamu kuwa baadhi ya wafuasi wa Chadema hamfurahishwi na jitihada zinazo fanywa na Mwenyekiti Mh. mbowe za kuleta maridhiano na utengamano wa kisiasa nchini.

Lakini nataka kuwaambia kuwa Mh. Mbowe kadhamiria kufanya siasa za kistaarabu za kuijenga nchi sio siasa za chuki, matusi na uhasama.
nawashauri wafuasi wa Chadema mmbadilike.
 
Eti maridhiano. Kuna maridhiano hapo au ile ziara ya rais Samia kule USA ndio imezaaa maridhiano uchwara ili kuwaridhisha mabeberu kuwa kuna demokrasia nchini. Demokrasia uchwara wakati wananchi wa kawaida wanaumia. Tozo, ufisadi na ughali wa maisha.

Nani mwananchi wa kawaida anahitaji Chama kama Chadema? Njooni uraiani muone. Hizi maridhiano njaa haziwabebi hata kidogo zaidi ya manufaa kwa Mbowe na rais Samia tu.

Wewe kweli ni mpumbavu, hebu soma tena ulichoandika then ujipige pige kifuani useme mimi ni mpumbavu kabisa. Kwa hiyo wananchi hawaipendi chadema kwa vile kuna tozo kubao, maisha yamekuwa magumu?
 
Kwa hali ya kisiasa inayoendelea hivi sasa hapa nchini, kibaraka wa Sukuma Gang ni lazima ikuume tu. Matendo yenu ya kidhalimu na kifedhuli hayana nafasi tena nchini. Hakuna kesi za uchochezi tena, vyama vipo huru kuendesha shughuli za kisiasa, hakuna tena shughuli za wasiojulikana, hakuna tena maiti za kwenye viroba, n.k.

Tubu dhambi zako, ama la, mauti na kuzimu zipo pamoja na wewe na zitakuandama daima. Una Bunge la kama chama kimoja, unailalamikia nini CDM? Nini wajibu wa wabunge hao katika kuishauiri na kuisimamia serikali ili kuthibiti ugumu wa maisha? Wakati wa uchafuzi wa 2019 na 2020 si ulikuwa ukikenua meno na kushangilia ushindi "fake" wa kimbunga kwa chama tawala?
Alikuwa anakenua ila kwa sasa analia kama mbwa koko. Afu mbaya zaidi hawataki kuamini macho yao kuwa kiongozi wao wa malaika keshatangulia na kuwaacha wakiwa hawajui wafanye nini. Hebu imagine mtu mzima kabisa anakuja mtandaoni anailalamikia chadema, utadhani chadema ndio wanaounda serikali
 
tunafahamu kuwa baadhi ya wafuasi wa Chadema hamfurahishwi na jitihada zinazo fanywa na Mwenyekiti Mh. mbowe za kuleta maridhiano na utengamano wa kisiasa nchini.

Lakini nataka kuwaambia kuwa Mh. Mbowe kadhamiria kufanya siasa za kistaarabu za kuijenga nchi sio siasa za chuki, matusi na uhasama.
nawashauri wafuasi wa Chadema mmbadilike.
Hehehehe, eti mh Mbowe kadhamiria.

Siasa ni kazi kama kazi zingine, kuna masirahi huko. Hawa watu hupiga kelele pale tu mianya yao ya ulaji inapobanwa.
 
Eti maridhiano. Kuna maridhiano hapo au ile ziara ya rais Samia kule USA ndio imezaaa maridhiano uchwara ili kuwaridhisha mabeberu kuwa kuna demokrasia nchini. Demokrasia uchwara wakati wananchi wa kawaida wanaumia. Tozo, ufisadi na ughali wa maisha.

Nani mwananchi wa kawaida anahitaji Chama kama Chadema? Njooni uraiani muone. Hizi maridhiano njaa haziwabebi hata kidogo zaidi ya manufaa kwa Mbowe na rais Samia tu.
VIBARAKA WA MAGUFULI MNAUMIA SANA JINSI MAMA ANAVYOENDESHA NCHI NA SIASA MH.MBOWE ALIMWOMBA MAGUFULI WAFANYE MARIDHIANO ALIKATAA MWACHE MAMA APATE THAWABU ZAKE KWA MUNGU MARIDHIANO YAMEWATOA MAGEREZANI MAMIA YA WANANCHI MAGUFULI ALIOWAFUNGA KWA UONEVU
 
Eti maridhiano. Kuna maridhiano hapo au ile ziara ya rais Samia kule USA ndio imezaaa maridhiano uchwara ili kuwaridhisha mabeberu kuwa kuna demokrasia nchini. Demokrasia uchwara wakati wananchi wa kawaida wanaumia. Tozo, ufisadi na ughali wa maisha.

Nani mwananchi wa kawaida anahitaji Chama kama Chadema? Njooni uraiani muone. Hizi maridhiano njaa haziwabebi hata kidogo zaidi ya manufaa kwa Mbowe na rais Samia tu.
Acha hasira ndugu.
Maridhiano ya CHADEMA na serikali ya mama Samia yana sababu gani ya kukuudhi wewe?
Kama wananchi wa kawaida hawana muda na CHADEMA, sasa maridhiano ya CHADEMA na serikali ya Samia yanawahusu nini hasa?
 
tunafahamu kuwa baadhi ya wafuasi wa Chadema hamfurahishwi na jitihada zinazo fanywa na Mwenyekiti Mh. mbowe za kuleta maridhiano na utengamano wa kisiasa nchini.

Lakini nataka kuwaambia kuwa Mh. Mbowe kadhamiria kufanya siasa za kistaarabu za kuijenga nchi sio siasa za chuki, matusi na uhasama.
nawashauri wafuasi wa Chadema mmbadilike.
Says a Sukuma gang member.
 
Eti maridhiano. Kuna maridhiano hapo au ile ziara ya rais Samia kule USA ndio imezaaa maridhiano uchwara ili kuwaridhisha mabeberu kuwa kuna demokrasia nchini. Demokrasia uchwara wakati wananchi wa kawaida wanaumia. Tozo, ufisadi na ughali wa maisha.

Nani mwananchi wa kawaida anahitaji Chama kama Chadema? Njooni uraiani muone. Hizi maridhiano njaa haziwabebi hata kidogo zaidi ya manufaa kwa Mbowe na rais Samia tu.
Hivi sasa ndiyo 'wananchi wa kawaida' wanatumia? Hawakuwa wakiumia wakati Wasiojulikana wakiua, wakitesa, wakijeruhi na kupora mali za watu?
 
tunafahamu kuwa baadhi ya wafuasi wa Chadema hamfurahishwi na jitihada zinazo fanywa na Mwenyekiti Mh. mbowe za kuleta maridhiano na utengamano wa kisiasa nchini.

Lakini nataka kuwaambia kuwa Mh. Mbowe kadhamiria kufanya siasa za kistaarabu za kuijenga nchi sio siasa za chuki, matusi na uhasama.
nawashauri wafuasi wa Chadema mmbadilike.
Umejiunga JF Jana Hadi useme Idugunde ni mwana CHADEMA? Kuna Mtu JF hajui itikadi ya Idugunde?
 
VIBARAKA WA MAGUFULI MNAUMIA SANA JINSI MAMA ANAVYOENDESHA NCHI NA SIASA MH.MBOWE ALIMWOMBA MAGUFULI WAFANYE MARIDHIANO ALIKATAA MWACHE MAMA APATE THAWABU ZAKE KWA MUNGU MARIDHIANO YAMEWATOA MAGEREZANI MAMIA YA WANANCHI MAGUFULI ALIOWAFUNGA KWA UONEVU
Tusubili uchaguzi tuone matokeo ya maridhiano.
 
Mazingira huru ya wanasiasa kufanya shughuli zao ni achievement kubwa kuelekea kwenye democracy ya kweli na mabadiliko chanya ya katiba.

Hayo mengine uliyoandika ni kuonesha jinsi uwezo wako wa akili ulivyo mdogo, na pengine hauna kabisa.
 
Alikuwa anakenua ila kwa sasa analia kama mbwa koko. Afu mbaya zaidi hawataki kuamini macho yao kuwa kiongozi wao wa malaika keshatangulia na kuwaacha wakiwa hawajui wafanye nini. Hebu imagine mtu mzima kabisa anakuja mtandaoni anailalamikia chadema, utadhani chadema ndio wanaounda serikali
Mkuu, labda hivi viambatanisho viwili vitamfanya atambue kuwa hajui chochote zaidi ya kuandika upuuzi.
tapatalk_1564750429057.jpg
tapatalk_jpeg_1557319509156.jpg
 
Back
Top Bottom