Kelele za Aweso kwenye Maji hazina uhalisia Morogoro

Kelele za Aweso kwenye Maji hazina uhalisia Morogoro

Hali ya upatikanaji wa maji safi Morogoro mjini na viunga vyake imeendelea kuzorota siku hadi siku kwa zaidi ya miaka miwili sasa licha ya sifa kama si misifa tele kwa wanaoongoza sekta hii nyeti.
Kuna chanzo kilitajwa kuwa ndicho cha uhakika kipo Mvomero milimani huko, lakini ikasemekana kikiguswa hicho kitaathiri
  1. Mtibwa plantations
  2. Chalinze water supply
  3. Mashamba ya Azam
  4. Sadan Game reserve
 
Kuna chanzo kilitajwa kuwa ndicho cha uhakika kipo Mvomero milimani huko, lakini ikasemekana kikiguswa hicho kitaathiri
  1. Mtibwa plantations
  2. Chalinze water supply
  3. Mashamba ya Azam
  4. Sadan Game reserve
Bila shaka chanzo hicho kitakuwa kinahusiana na Bonde la Mto Wami.
 
Hali ya upatikanaji wa maji safi Morogoro mjini na viunga vyake imeendelea kuzorota siku hadi siku kwa zaidi ya miaka miwili sasa licha ya sifa kama si misifa tele kwa wanaoongoza sekta hii nyeti.
Huyu ni mtoto wa maza ni kama Makonda awamu ya dikteta wala hakuna la maana anafanya
 
Hali ya upatikanaji wa maji safi Morogoro mjini na viunga vyake imeendelea kuzorota siku hadi siku kwa zaidi ya miaka miwili sasa licha ya sifa kama si misifa tele kwa wanaoongoza sekta hii nyeti.
Kwani hakuna Ujenzi wa mradi unaendelea? Wakandarasi wako site unategemea maji yatoke on time?

Subiria mradi umalizike.
 
Back
Top Bottom